Mbunge Kasinge Kilwa Kusini ahoji wanachi Kisiwa cha Songosongo kukosa umeme licha Yakuzalisha gesi.

Mbunge Kilwa kusini mkoani Lindi Mhe.Ally Kasinge amehoji kutopatikana kwa huduma ya umeme wa uhakika kwa kijiji cha kisiwa cha Songosongo wilayani humo. #songosongo #kilwa #lindi #bungeni #mbunge