ZIARA YA DC NYUNDO,MBUNGE,MWENYEKITI CCM KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO JIMBO LA KILWA KASKAZINI

Ziara ya mkuu wa wilaya ya Kilwa MOHAMED NYUNDO akiwa ameambatana na kamati ya ulizi na usalama wilayani humo, Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) wilaya SAID TIMAMI na mbunge wa jimbo la Kilwa Kaskazini FRANCES NDULANE wametembelea kijiji cha Chumo kwa lengo la kuwafariji wahanga wa mafuriko yaliyo leta athari mbalimbali ikiwemo kuvunjika kwa nyumba za wananchi na uharibifu wa miundombinu ya barabara na kufanya gharama za maisha kupanda kijijini hapo.