Ndulane aliacha Bunge zima HOI; Wabunge wapigwa na butwaa, wapiga makofi kwa mchango wake

Mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM) Francis Ndulane akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2023/24.