KASEKENYA ATOA MIEZI SABA KUKAMILIKA UJENZI WA OSBP MANYOVU
Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya amemtaka mkandarasi China Jiangxi International Economic and Technical Cooperation Co. Ltd anaejenga kituo cha forodha cha pamoja (OSBP) Manyovu/Mugina kuhakikisha kinakamilika ifikapo Julai mwaka huu. Kituo hicho cha mfano cha forodha kinachojegwa Manyovu wilayani Buhigwe mkoani Kigoma katika mpaka wa Tanzania na Burundi kinatarajiwa kuwaweka wadau wote wa huduma za mpakani na fedha katika eneo moja na hivyo kuchochea ukuaji wa biashara kati ya Tanzania, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

▶︎
BARABARA YA KIGOMA -TABORA 413 KM YAKAMILIKA KWA LAMI

▶︎
WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

▶︎
SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

▶︎
BARABARA YA MCHEPUO IRINGA KUCHOCHEA UCHUMI : DKT. NCHEMBA

▶︎
China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

▶︎
Mwonekano wa Mwenge Flyover, Dar es Salam

▶︎
DKT. MWIGULU AAGIZA SULUHU YA KUDUMU DARAJA LA MAGOLE –DUMILA

▶︎
UPEMBUZI YAKINIFU BARABARA YA IPYANA - ILEJE WAFIKA ASILIMIA 96

▶︎
SIKU 100 ZA MAMA SAMIA MKURANGA YATENGA MAENEO KWA AJILI YA KONGANI YA VIWANDA

▶︎
Mradi wa Handeni, Korogwe, Muheza na Pangani umefikia asilimia 74 ya utekelezaji wake.

▶︎
Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
ZAMU YA USAFIRI WA MWENDOKASI KWA WAKAZI WA GONGORAMBOTO

▶︎
WAZIRI ULEGA AKUTANA NA MTOTO MWENYE KIPAJI CHA UJENZI WA BARABARA NA MADARAJA

▶︎
How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

▶︎
WAZIRI MKUU AAGIZA TANROADS KUMPATA MKANDARASI BARABARA YA NYOLOLO - MTWANGO

▶︎
MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

▶︎
Trump tells Israel and Iran to stop shooting, both sides say attacks halted after weekend flare-up

▶︎
UTAFITI WATHIBITISHA BONDE LA EYASI WEMBERE KUZALISHA MAFUTA.

▶︎
ULEGA: SERIKALI KUIMARISHA MIUNDOMBINU MARA

▶︎
