DKT. MWIGULU AAGIZA SULUHU YA KUDUMU DARAJA LA MAGOLE –DUMILA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ukaguzi wa Daraja la Magole lililopo Dumila katika Mto Mkundi wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro na kuagiza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) kutafuta suluhu ya kudumu ya changamoto ya kujaa maji na mchanga inayolikabili daraja hilo kila mwaka. Dkt. Mwigulu ametoa agizo hilo leo Ijumaa, Mei 8, 2026, alipokuwa akizungumza na wananchi waliofika katika eneo la daraja hilo kumsikiliza.

▶︎
🚨 Palamagamba Kabudi AFUNGUKA KWA KILUGHA DUMILA | Mwigulu Nchemba AONGOZA ZIARA YA DARAJA.

▶︎
WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
Mwonekano wa Mwenge Flyover, Dar es Salam

▶︎
BARABARA YA MCHEPUO IRINGA KUCHOCHEA UCHUMI : DKT. NCHEMBA

▶︎
MWENYEKITI MBARONI KWA KUUZA KIWANJA CHA SHULE MAJIBU YAKE YALIVYOMTIA HATIANI, AWEKWA KIZUIZINI.

▶︎
MTANZANIA ANAYEFUNDISHA MARUBANI CANADA, MAMA YAKE ASIMULIA ALIVYOTELEKEZWA “NIMETUMIA MIL.500”

▶︎
SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

▶︎
Iran yashambulia Israel, na Israel yashambulia Iran vita imerejea rasmi

▶︎
Exclusive & Detailed! ACCRA KUMASI EXPRESSWAY PROJECT UPDATE. MORE BUILDINGS MARKED FOR DEMOLITIONS

▶︎
Complot avant l'arrivée au pouvoir, le projet détourné, piège... Ousmane Sonko raconte tout

▶︎
My Golden Retriever Heals a Terrified Rescue Kitten in Just 3 Meetings!

▶︎
UWANJA WA ARUSHA KAMA ULAYA, WAFIKIA ASILIMIA 83,.

▶︎
KAULI ya TEMBA WALIOMUUA MDOGO WAKE - ''HII ADHABU WALIYOITOA HAISTAHILI - TUNAMUACHIA MUNGU''....

▶︎
I Don’t Trust the Media, So Here is Real BURUNDI 🇧🇮

▶︎
Amazing Takeoff at Saba Airport! Pilot Risks Everything on the World’s Shortest Runway

▶︎
TAHARUKI : MWENYEKITI AOA MKE WA MTU KISA KUMTENGENEZEA SIMU AFUNGA NDOA KWA SIRI MKE WA PILI

▶︎
WAZIRI MKUU AAGIZA TANROADS KUMPATA MKANDARASI BARABARA YA NYOLOLO - MTWANGO

▶︎
Tazama!! SAID CHINO AONESHA UWANAUME MAREKANI

▶︎
