VIJANA WAJENGEWA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU
📌 Ulega asema ni mkakati endelevu 📌 Walengwa ni waajiriwa wapya na waliojiajiri Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema vijana walioanza ajira karibuni na wale waliojiajiri watapewa kipaumbele katika kupewa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na Serikali jijini Dar es Salaam. Akizungumza wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa nyumba 144 za gharama nafuu zinazojengwa na Wakala wa Majengo ya Serikali (TBA) Wilayani Temeke jijini Dar es Salaam leo, Ulega alisema Serikali imechukua hatua hiyo kutokana na changamoto ambazo vijana wanazipitia kwenye kupata nyumba za gharama nafuu kuishi.

▶︎
WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

▶︎
ULEGA ATANGAZA MSHINDI ‘FOLENI CHALLENGE”

▶︎
ZAMU YA USAFIRI WA MWENDOKASI KWA WAKAZI WA GONGORAMBOTO

▶︎
Gachagua exposes what KDF secretly told him about Ebola quarantine facility in Laikipia!🔥

▶︎
SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

▶︎
RADIO NYINGI ZITAFUNGWA | CLOUDS ILIANZISHWA KWA MKOPO WA MILIONI 40 | JOSEPH KUSAGA

▶︎
BARABARA YA MCHEPUO IRINGA KUCHOCHEA UCHUMI : DKT. NCHEMBA

▶︎
🔴Makamu wa Rais Nchimbi Atoa Onyo Kali kwa Viongozi wa CCM Baada ya Kuitwa “YUDA” Samia suluhu Kimya

▶︎
Milimani Estate 2026 Kisumu | Houses, Prices and Environment Tour

▶︎
How Cassava Roots Are Turned Into Rice | Inside a Cassava Rice Manufacturing Factory

▶︎
MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

▶︎
WAZIRI ATOA SIKU 28 KUVUNJA MKATABA NA MKANDARASI, ATOA MAAGIZO MAZITO

▶︎
'Listen Like You Might Be Wrong': Harvard Student Goes Viral For Stunning Speech On Trump Amid Feud

▶︎
Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

▶︎
Iran yashambulia Israel, na Israel yashambulia Iran vita imerejea rasmi

▶︎
DKT. MWIGULU AAGIZA SULUHU YA KUDUMU DARAJA LA MAGOLE –DUMILA

▶︎
When Stupid Cops Mess With FBI Agent

▶︎
BREAKING: Ruto receives heartbreaking News from Doctors.

▶︎
