MADIWANI TANGANYIKA WARIDHIA KUFUNGWA ZIWA TANGANYIKA.
#thekataviindependent || MADIWANI TANGANYIKA WARIDHIA KUFUNGWA ZIWA TANGANYIKA. Madiwani halmashauri ya tanganyika mkoani Katavi wamekubali mpango wa Serikali wa kupunzisha uvuvi katika ziwa Tanganyika kwa muda wa kipindi cha miezi mitatu. Wakazingumza katika kikao maalumu kilichowakutanisha timu ya Wizara ya mifugo na uvuvi, viongozi wa halmashauri ya tanganyika, watendaji kata, vijiji na maafisa uvuvi kuhusu utekelezaji wa upumzishaji shughuli za uvuvi ziwa Tanganyika, diwani wa kata ya Karema Michael Kapata na diwani viti maalumu kata ya Ikola wamesema wazo hilo ni zuri kwani ni ukweli usiopingika kuwa samaki katika ziwa Tanganyika wamepungua tofauti na kipindi cha nyuma. Naye mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amewataka wataalamu wa kilimo kuandaa maeneo kwa ajili ya shughuli za kilimo ili wakazi waeneo hilo wawe na namna nzuri ya kujiingizia kipato tofauti na uvuvi wakati zoezi la usitishwaji likiendelea. Kwa upande wake Masui Munda, mteknolojia wa samaki mwandamizi ambaye ni afisa dawati wa ziwa Tanganyika amesema zoezi hilo litaenda sambamba na kubaini nyavu haramu ili zisitumike. Zoezi la upumzishaji shughuli za uvuvi ziwa Tanganyika linatarajia kutekelezwa tarehe 15 mwezi wa Nne mwaka huu hadi tarehe 15 mwezi wa nane mwaka huu. =================================================================== ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ Wasiliana na The Katavi Independent: +255 759 119 954 au +255 762 297 707 ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ Tufollow Instagram: https://bit.ly/3I6Qmae ⚫️ Tufollow X: https://bit.ly/49j2Jff

MADIWANI TANGANYIKA WAIKALIA KOONI SERIKALI "HALMASHAURI IMEPOTEZA MWELEKEO"

CHADEMA KATAVI WAOMBA WANANCHI KUWAUNGA MKONO

MADEREVA WA MZEE WILLIAM AMURI YAKUTUMBA WAONESHA UMUIMU WAKE KATIKA UONGOZI WA VITA FIZI NA UVIRA

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA

Mfangano Island; The home to the assimilated Abasuba community from Buganda kingdom.

FULL VIDEO KILICHOMPONZA MWENYEKITI WA MTAA HADI RC CHALAMILA KUAGIZA AKAMATWE | UTAPELI WA VIWANJA.

WANANCHI HANANG' WAANZA KUNUFAIKA na PROGRAMU ya 'WASH'

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

TUCTA YATOA HEKO kwa WAAJIRI HANANG' -TUNAMPONGEZA SANA MKURUGENZI.

EMPIEZA EL JUEVES CON FE | HOY DIOS TE DA PROTECCIÓN Y PAZ PARA TU FAMILIA | PADRE FREDDY BUSTAMANTE

NEYMAR AND VINI JR PUT ON A SHOW! BRAZIL HUMILIATED GHANA AND DELIVERED A HISTORIC ROUT

HATARI AO TISHIO LAKU ANGUKA KWA MJI WA UVIRA LEO PATA MWANGAZA

MATIBABU BURE, UJIO WA MADAKTARI BINGWA TANGANYIKA

MBUNGE HHAYUMA AJIVUNIA MAENDELEO YA HANANG | MIAKA 5 YA MAFANIKIO

Real Life in VANUATU: Happiest Country On Earth — But The Real Truth Will Shock You! | Documentary

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #1 #adamrose #smartworkers

When Tyson Faced the Smash Machine

Craziest Red Cards in Women's Football

