MATIBABU BURE, UJIO WA MADAKTARI BINGWA TANGANYIKA

Kupitia kipindi cha kumekucha Tanzania, Mpanda Redio FM imezungumza na madaktari wa hospitali ya wilaya ya Tanganyika na wakaeleza hali ya maendeleo katika sekta ya afya wilayani humo na kuelezea juu ya ujio wa madaktari bingwa watakaoanza kutoa huduma kuanzia julay 18 hadi julay 25, 2026 ambapo wamewataka wale wote ambao wanahitajii matibabu kuhakikisha wanaanza kujisajili kuanzia sasa na endapo mtu atasubiri wakati wa kutolewa matibabu anaweza asifanikiwe kupata huduma hiyo.