WANANCHI HANANG' WAANZA KUNUFAIKA na PROGRAMU ya 'WASH'

WANANCHI HANANG' WAANZA KUNUFAIKA na PROGRAMU ya 'WASH' Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, kwa kushirikiana na shirika la WaterAid na taasisi ya Prism Communication, inatarajia kutekeleza programu ya maji safi na usafi wa mazingira katika kata zote 33 za wilaya ya Hanang. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo katika kijiji cha Gidamula, kata ya Gidahababieg, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Teresia Irafay, amesema imani yake mradi huo utabadilisha tabia ya jamii juu ya umuhimu wa kuzingatia usafi, kutumia vyoo bora na lishe inayozingatia makundi yote ya vyakula. Aidha, amesema kuwa mradi utasaidia wananchi kupata huduma bora za maji na usafi ili kuimarisha afya za jamii. "Mradi huu unatupa wakati mzuri wa kuwaelimisha wananchi hasa wanaoishi katika mazingira hatarishi ambayo yanatufanya tunapata magonjwa ambayo yanaepukika kama kipindupindu, magonjwa ya tumbo ambayo yanatokana na uchafu" amesema Irafay. Akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi Pendo Mntambo kutoka Shirika la WaterAid amesema lengo la mradi huo ni kuimarisha elimu ya usafi wa mazingira na kutoa mafunzo ya kubadili tabia kwa wananchi ili kulinda afya zao ambapo kwa kuanza wanajenga miundombinu ya choo katika shule ya Msingi Gidamula sambamba na huduma ya uvutaji wa maji. =================================================================== ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ Wasiliana na The Katavi Independent: +255 759 119 954 au +255 762 297 707 ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ Tufollow Instagram: https://bit.ly/3I6Qmae ⚫️ Tufollow X: https://bit.ly/49j2Jff

HANANG' YAPAA MASHINDANO ya UMITASHUMTA MKOA
▶︎

HANANG' YAPAA MASHINDANO ya UMITASHUMTA MKOA

RC MRINDOKO AKABIDHI BASI LA WATUMISHI HOSPITALI YA RUFAA KATAVI.
▶︎

RC MRINDOKO AKABIDHI BASI LA WATUMISHI HOSPITALI YA RUFAA KATAVI.

#TBC1 SIMULIZI ZA HANANG: IFAHAMU WILAYA YA HANANG NA MAPOROMOKO YA MLIMA HANANG
▶︎

#TBC1 SIMULIZI ZA HANANG: IFAHAMU WILAYA YA HANANG NA MAPOROMOKO YA MLIMA HANANG

World Cup 2026: DR Congo arrives in Houston
▶︎

World Cup 2026: DR Congo arrives in Houston

SERIKALI YAKAMILISHA SHULE SHIKIZI ILIYOANZISHWA na WANANCHI.
▶︎

SERIKALI YAKAMILISHA SHULE SHIKIZI ILIYOANZISHWA na WANANCHI.

MAMLAKA ya MJI MDOGO KATESH YAZINDUA BARAZA LAKE, UONGOZI WATILIA MKAZO UFUGAJI MJINI
▶︎

MAMLAKA ya MJI MDOGO KATESH YAZINDUA BARAZA LAKE, UONGOZI WATILIA MKAZO UFUGAJI MJINI

Mganga Mkuu wa Wilaya Dr Stanley Mlay akielezea huduma zitakazotolewa Zahanat
▶︎

Mganga Mkuu wa Wilaya Dr Stanley Mlay akielezea huduma zitakazotolewa Zahanat

TUCTA YATOA HEKO kwa WAAJIRI HANANG' -TUNAMPONGEZA SANA MKURUGENZI.
▶︎

TUCTA YATOA HEKO kwa WAAJIRI HANANG' -TUNAMPONGEZA SANA MKURUGENZI.

HISTORIA YA KWELI YA MLIMA HANANG, UREFU, CHANZO CHAKE NI VOLCANO, IMEKUFA HAIWEZI KUTOKEA
▶︎

HISTORIA YA KWELI YA MLIMA HANANG, UREFU, CHANZO CHAKE NI VOLCANO, IMEKUFA HAIWEZI KUTOKEA

NIMEFIKA HANANG /KATESH KULIPOTOKEA MAFURIKO YA TOPE/ HALI NI MBAYA/WAMEPITIA MTIHANI MZITO
▶︎

NIMEFIKA HANANG /KATESH KULIPOTOKEA MAFURIKO YA TOPE/ HALI NI MBAYA/WAMEPITIA MTIHANI MZITO

Ruto BLOW over COOL Rigathi Reception in Kisumu as he HOLDS Electrifying Rally in Luanda
▶︎

Ruto BLOW over COOL Rigathi Reception in Kisumu as he HOLDS Electrifying Rally in Luanda

MUUNGURUMO MLIMA HANANG' WAWATIA HOFU  WAKAZI
▶︎

MUUNGURUMO MLIMA HANANG' WAWATIA HOFU WAKAZI

WAFANYABIASHARA NA TRA KATAVI MAMBO SAFI
▶︎

WAFANYABIASHARA NA TRA KATAVI MAMBO SAFI

TUNAWEZA KUKARABATI BARABARA KUPITIA MAPATO ya NDANI ENDAPO TUTAKUSANYA VIZURI.
▶︎

TUNAWEZA KUKARABATI BARABARA KUPITIA MAPATO ya NDANI ENDAPO TUTAKUSANYA VIZURI.

MBUNGE HHAYUMA AJIVUNIA MAENDELEO YA HANANG | MIAKA 5 YA MAFANIKIO
▶︎

MBUNGE HHAYUMA AJIVUNIA MAENDELEO YA HANANG | MIAKA 5 YA MAFANIKIO

Trump Preps for 80th Birthday, Threatens to Hit Iran, Knicks Historic Win & Elon Musk Trillionaire!?
▶︎

Trump Preps for 80th Birthday, Threatens to Hit Iran, Knicks Historic Win & Elon Musk Trillionaire!?

Ufahamu Mlima Hanang Ni wa nne Kwa Urefu Tanzania
▶︎

Ufahamu Mlima Hanang Ni wa nne Kwa Urefu Tanzania

Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko wilayani Hanang  wafikia 63.
▶︎

Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko wilayani Hanang wafikia 63.

WAZIRI BASHUNGWA ALIVYOTINGA MLIMA HANANG KUKAGUA MIUNDOMBINU NA KUWAPA POLE WANANCHI
▶︎

WAZIRI BASHUNGWA ALIVYOTINGA MLIMA HANANG KUKAGUA MIUNDOMBINU NA KUWAPA POLE WANANCHI

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....
▶︎

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....