WATUHUMIWA WATATU MAUAJI YA MWANAFUNZI WA MZUMBE ALIYEUAWA KWA KUCHOMWA MOTO WAFARIKI DUNIA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watatu kwa tuhuma za mauaji ya Shyrose Mabula, aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe, ndaki ya Mbeya. Mwanafunzi huyo alidaiwa kupotea tangu Septemba 14, na mwili wake ulipatikana Septemba 16 ukiwa umechomwa moto katika Kata ya Isyesye, jijini Mbeya. Tukio hilo liliibua hofu na hasira miongoni mwa wananchi na wanasiasa wa eneo hilo. Akizungumza leo Jumatatu, Septemba 29, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, SACP Benjamin Kuzaga, amesema Jeshi la Polisi lilianza uchunguzi mara moja na kufuatilia washtakiwa hao, ambao hatimaye waliwakamata. Hata hivyo, watuhumiwa hao walifariki dunia wakati wakipelekwa hospitali kwa matibabu. Kamanda Kuzaga ameongeza kuwa uchunguzi unaendelea ili kubaini washirika wengine wowote walioweza kuhusika katika kisa hiki cha mauaji. Video na Sadam Sadick

MARAFIKI WA MWANAFUNZI ALIYETEKWA NA KUCHOMWA WAFUNGUKA "ALIWAHI KUSEMA KUNA MAMB HAYAELEWI"

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

TAHARUKI MWANAFUNZI CHUO CHA MZUMBE ANAYEDAIWA KUUAWA KWA KUCHOMWA MOTO, BABA ASIMULIA ...

FATHER OF MZUMBE UNIVERSITY STUDENT WHO WAS KILLED BY ANIMAL IS RELEASED AFTER THE CRIMINALS DIED..

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

UTATA WAUWAJI WA SHYROSE MABULA MWANAFUNZI WA MZUMBE MBEYA WAMEUWAWA WAKIWA MIKONONI MWA POLISI..MMH

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

Gen Kahinda Otafire and Sarah Bireete share theire tough words about the Rule of Law in Uganda

Stolen truck pursuit ends with violent, multi-vehicle pileup in Long Beach

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

TAHARUKI:KIFO CHA SHYROSE ALIYETEKWA, AKATESWA, WATEKAJI WALITAKA 200M, ALIPOSHINDWA WAKAMCHOMA MOTO

HECHE AONGEZEWE ULINZI, KAULI YAKE YATIMIA?, "CCM HAMUWEZI KUSHINDANA NA CHADEMA, MTAPASUKA KIFUA"

MARIASPACES : MAPYA MKE WA LISSU KULIA BUNGE LA EU,TAMKO LA ICC,KAULI YA CHALAMILA MAANDAMANO7/7

MAUAJI YA KUTISHA MBEYA , RC CHALAMILA ACHARUKA

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

BINTI ALIYETEKWA NA KUWAWA KIKATILI NA KUCHOMWA MOTO AWALIZA WATU MSIBANI DC MBEYA TUTAWAKAMATA

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

