TAHARUKI MWANAFUNZI CHUO CHA MZUMBE ANAYEDAIWA KUUAWA KWA KUCHOMWA MOTO, BABA ASIMULIA ...
Mbeya. Wakati taharuki ikitanda jijini Mbeya kuhusu kifo cha aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza Chuo Kikuu Mzumbe ndaki ya Mbeya, Shairose Mabula anayedaiwa kuawa kwa kuchomwa moto na wasiojulikana, Jeshi la Polisi mkoani humo limesema linaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo. Taarifa ya tukio la kuuawa kwa mwanafunzi huyo zilianza kusambaa leo Alhamisi Septemba 18,2025 katika mitandao ya kijamii na kuzua taharuki na sintofahamu kutokana na utata wa mazingira ya kifo hicho. Katika taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya leo imeeleza kuwa Septemba 14,2025 Baba mzazi wa marehemu huyo, Michael Mabula alifika kituo kikuu cha Polisi Mbeya kutoa taarifa ya kupotea kwa binti yake. Taarifa hiyo imeeleza kuwa baada ya kupokea taarifa hiyo, Jeshi hilo lilifungua jalada la uchunguzi na ufuatiliaji ili kumpata, ambapo Septemba 16, saa 5:00 usiku lilipokea taarifa za ajali ya moto katika mtaa wa Moravian Kata ya Isyesye. Kufuatia taarifa hiyo askari Polisi walikwenda eneo la tukio na kukuta kibanda kikiteketea kwa moto.

MFANYABIASHARA MDOGO AUAWA NA KUFUKIWA KISA ALIKUWA NA MILIONI TISA, PACHA WAKE ASIMULIA KILA KITU

WALIOMUUA KINYAMA SHYROSE MWANAFUNZI CHUO KIKUU CHA MZUMBE WAUAWA KWA RISASI MBEYA

WATUHUMIWA WATATU MAUAJI YA MWANAFUNZI WA MZUMBE ALIYEUAWA KWA KUCHOMWA MOTO WAFARIKI DUNIA

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace

THOSE WHO KILLED A MZUMBE UNIVERSITY STUDENT - THREE DIED - POLICE COMMANDER REVEALS..

MARAFIKI WA MWANAFUNZI ALIYETEKWA NA KUCHOMWA WAFUNGUKA "ALIWAHI KUSEMA KUNA MAMB HAYAELEWI"

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Why South Africa Is Angry | DOCUMENTARY

JANITOR vs THE BIGGEST GUY IN THE GYM. HE Didn’t Expect THAT

HECHE AONGEZEWE ULINZI, KAULI YAKE YATIMIA?, "CCM HAMUWEZI KUSHINDANA NA CHADEMA, MTAPASUKA KIFUA"

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

MAUAJI YA KUTISHA MBEYA , RC CHALAMILA ACHARUKA

INAUMIZA : HISTORIA YA MAREHEMU MWANACHUO ALIYEUWAWA KWA KUCHOMWA MOTO MBEYA

🚨Fin Cop à Lukunga La police maîtrise les criminels à machette pendant que la foule craque d'émotion

TAHARUKI ARUSHA! CHUPA ZAIDI ya ELFU 2 ZENYE MKOJO na KINYESI ZAKUTWA NDANI ya NYUMBA ya MAMA NTILIE

Inasikitisha! Mwanafunzi wa UDSM apitia kipigo na kulazimishwa kuolewa "Neema" aomba msaada

My Husband Went Missing After Going to Buy Milk, 6 Months Later I Found Him a Mad Man

"PLU is DANGEROUS!" Odonga Otto EXPOSES Muhoozi, Military Takeover & L.O.P Plot

