Gachagua apinga mpango wa kuigawa Mlima Kenya
Kinara wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, amesema hatokubali eneo la Mlima Kenya kugawanywa kati ya Mashariki na Magharibi, akisisitiza kuwa umoja wa eneo hilo ndio unaolipa nguvu za kisiasa. Akizungumza wakati wa ibada ya Jumapili katika Kaunti ya Meru, Gachagua alisema pendekezo la kuigawa Mlima Kenya ni njama ya Rais William Ruto ya kujijengea mazingira ya kurejea mamlakani kwa muhula wa pili. Aidha, aliwahimiza wakazi wa eneo hilo kuendelea kushikamana ili kulinda maslahi yao ya kisiasa. Kamau Mwangi ana taarifa zaidi.

▶︎
Junet claims MPs were bribed to support Gachagua's impeachment, reviving integrity concerns

▶︎
Sifuna atangaza yuko tayari kuachana na ODM, aelekeza nguvu kumng'oa Ruto

▶︎
Senator Edwin Sifuna endorsed as the 2027 Luhya community presidential flag-bearer

▶︎
Duale defends remarks, demands Gachagua face NCIC too

▶︎
Sifuna receives hero's welcome as Linda Mwananchi rallies Western support

▶︎
DAWA YA RUTO!! Listen to Gachagua Powerful remarks today in Meru destroying Kasongo badly!🔥

▶︎
Babu Owino's full speech in Bungoma

▶︎
Ruto na Sifuna wakutana kisiasa Magharibi kupitia mikutano sambamba

▶︎
IF KINDIKI LEAVES RUTO & VIES FOR PRESIDENT WILL YOU SUPPORT HIM? Gachagua asked

▶︎
Linda Mwananchi wapendekeza Sifuna kupeperusha bendera ya upinzani 2027

▶︎
I’D RATHER STAY IN USHAGO THAN MOVING TO NAIROBI - SHAMBA BOY

▶︎
''Leo Nimeskia Junet Mohamed akisema Oparanya Ndio Dp Wa Kasongo'' Gachagua Sets the Record Straight

▶︎
Vimbwanga: Gachagua na Kindiki warushiana makombora huku siasa zikipamba moto

▶︎
Kenya Kwanza dismisses Linda Mwananchi, urges opposition to join government

▶︎
Ruto Broad-Based Government Just BACKFIRED Junet Mohammed BREAKS Silence on Gachagua's Impeachment

▶︎
We were paid during Gachagua's impeachment - Junet Mohamed

▶︎
Ruto Speech Today will make Gachagua Hide! Listen to this powerful speech today!

▶︎
Gachagua warns against splitting Mt Kenya vote

▶︎
Gachagua Speaks

▶︎
