HII NDIO BARABARA YA MCHEPUO 'MLIMA WA NYOKA' // TAZAMA IKIPANULIWA, NI KWENYE BARABARA YA TANZAM
Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeanza upanuzi na ujenzi wa barabara ya mchepuo katika eneo la Mlima Nyoka lililopo kwenye barabara ya TANZAM, kwa lengo la kupunguza ajali za mara kwa mara, msongamano wa magari na kuongeza usalama kwa watumiaji wa barabara hiyo muhimu kitaifa na kikanda. Akizungumza kuhusu mradi huo, Meneja wa Barabara Kuu na Barabara za Mijini kutoka TANROADS, Mhandisi Nchama Wambura, amesema kuwa uamuzi wa kupanua barabara hiyo umetokana na ongezeko kubwa la magari, hususan malori makubwa, ambayo yamekuwa yakikumbwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kushindwa kupanda Mlima Nyoka na kusababisha ajali zinazoharibu mali na kupoteza maisha ya watu. Mhandisi Wambura amesema Mlima Nyoka ni mrefu na mkali, hali inayosababisha magari mengi kukwama na kusababisha msongamano mkubwa wa magari, jambo lililoilazimu TANROADS kuanzisha ujenzi wa njia ya mchepuo pamoja na maeneo ya magari kupumzikia, ili kurahisisha mtiririko wa magari na kupunguza adha kwa madereva.

KASEKENYA ATOA MIEZI SABA KUKAMILIKA UJENZI WA OSBP MANYOVU

BARABARA YA MCHEPUO IRINGA KUCHOCHEA UCHUMI : DKT. NCHEMBA

WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

Umujyi wa Kigali ugaragaje impamvu zituma agakiriro ka Gisozi gakwiye kwimurwa

DKT. MWIGULU AAGIZA SULUHU YA KUDUMU DARAJA LA MAGOLE –DUMILA

BARABARA YA MLIMA NYOKA MBEYA YAMUIBUA MCC ASAS, AKAGUA ATAKA MRADI UKAMILIKE KUONDOA KERO

TANROADS SIMIYU YATOLEA UFAFANUZI UKARABATI BARABARA BARIADI - LAMADI - BILIONI 6 ZIKITOLEWA...

Mradi wa Ujenzi wa Stendi ya Kisasa Tabora Waendelea kwa Kasi

RADIO NYINGI ZITAFUNGWA | CLOUDS ILIANZISHWA KWA MKOPO WA MILIONI 40 | JOSEPH KUSAGA

MSALATO INTERNATIONAL AIRPORT - ACI AFRICA 2025 (Salama Jabir)

WAZIRI ULEGA AWAHAKIKISHIA MIRADI YOTE KUKAMILIKA

#SGR-MADARAJA YA RUVU YAKAMILIKA KWA 100%,MWEZI WA 9 TRENI YA UHANDISI KUTEMBEA PUGU HADI NGERENGERE

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

NEW AIRPORT INSIDE THE NYERERE NATIONAL PARK

Rais Samia aendeleza mikutano na viongozi wakuu Urusi. Katika Dira ya Dunia TV

MFAHAMU MCHEZAJI ALIYEUAWA KWA KUKOSA GOLI KOMBE DUNIA | RAIA WA COLOMBIA.

MASAKI Dar es Salaam, Not Europe But Africa - Tanzania's Richest Neighborhood

30 Reasons Why Kenya Is Not What You Expect

