BARABARA, RELI KIKWAZO MAENDELEO YA BANDARI YA KAREMA

The Kavavi Independent || Changamoto ya miundombinu hususani ya barabara na reli kutoka Mpanda kwenda katika eneo la Bandari ya Karema iliyopo Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi imepelekea meli za mizigo kutotia nanga katika bandari hiyo. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Jerry Silaa, walipotembelea na kukagua utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa Ujenzi wa Bandari ya Karema, unaotekelezwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA). Akiongoza Kamati hiyo Mwenyekiti Silaa amesema tokea Bandari hiyo ifunguliwe rasmi septemba 2022 hadi sasa imeingiza kiasi cha shilingi milioni nne na laki nane ambazo amesema ni kiasi kidogo ukilinganisha na uwekezaji uliofanyika wa shilingi Bilioni 47.97 Amesema kukamilika kwa miundombinu hiyo itasaidia malori yanayopeleka mizigo Congo badala ya kupita njia ya Tunduma yatapita njia ya Mpanda na kwenda hadi Karema na baada ya kufika Bandari ya Karema ni rahisi kufika Bandari ya Karemii iliyopo Congo katika Jimbo la Rubumbashi. Silaa amesema mpango wa Serikali ni kujenga barabara ya kilomita 110 kutoka Kijiji cha Kagwira hadi katika bandari ya Karema pamoja na kujenga reli kutoka Mpanda hadi Karema. Ameishauri serikali kuongeza kasi ya ujenzi na utunzaji wa miradi hiyo kwa kuwa Bandari imekwisha kamilika kwa asilimia mia moja.

BANDARI YA KAREMA YAKAMILIKA.. "MELI ZA MSCL ZASUBILIWA KUCHANGAMSHA BIASHARA"
▶︎

BANDARI YA KAREMA YAKAMILIKA.. "MELI ZA MSCL ZASUBILIWA KUCHANGAMSHA BIASHARA"

ZAIDI YA BILIONI 50 ZA TPA ZINAVYOANZA KUIBADILI KATAVI
▶︎

ZAIDI YA BILIONI 50 ZA TPA ZINAVYOANZA KUIBADILI KATAVI

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.
▶︎

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

🔴#LIVE: RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MKOA WA TABORA..
▶︎

🔴#LIVE: RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MKOA WA TABORA..

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BANDARI YA KISASA MBAMBABAY ITAGHARIMU ZAIDI YA BILIONI 80
▶︎

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BANDARI YA KISASA MBAMBABAY ITAGHARIMU ZAIDI YA BILIONI 80

BANDARI YA KAREMA YATOA NEEMA KWA WANANCHI.
▶︎

BANDARI YA KAREMA YATOA NEEMA KWA WANANCHI.

SERIKALI YASITISHA UCHIMBAJI MTISI NA IBINDI KWA SABABU ZA MAZINGIRA
▶︎

SERIKALI YASITISHA UCHIMBAJI MTISI NA IBINDI KWA SABABU ZA MAZINGIRA

RC MRINDOKO AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA LAMI  KAGWIRA–KAREMA
▶︎

RC MRINDOKO AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA LAMI KAGWIRA–KAREMA

🔴#LIVE: RAIS SAMIA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE WA MPANDA MKOANI KATAVI
▶︎

🔴#LIVE: RAIS SAMIA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE WA MPANDA MKOANI KATAVI

ULIPOFIKIA UJENZI BANDARI YA KAGUNGA KIGOMA ITAKAYOHUDUMIA NCHI TATU
▶︎

ULIPOFIKIA UJENZI BANDARI YA KAGUNGA KIGOMA ITAKAYOHUDUMIA NCHI TATU

🔴#Live: RAIS SAMIA ASIMAMA na KUWASALIMIA WANANCHI wa INYONGA MKOANI KATAVI - AFANYIWA SURPRISE...
▶︎

🔴#Live: RAIS SAMIA ASIMAMA na KUWASALIMIA WANANCHI wa INYONGA MKOANI KATAVI - AFANYIWA SURPRISE...

Hii ndiyo bandari ya mwisho Ziwa Tanganyika iliyopo karibu na Zambia
▶︎

Hii ndiyo bandari ya mwisho Ziwa Tanganyika iliyopo karibu na Zambia

#TBC: UJENZI WA BARABARA SUMBAWANGA WAZAA FURSA LUKUKI
▶︎

#TBC: UJENZI WA BARABARA SUMBAWANGA WAZAA FURSA LUKUKI

MAKALA YA MWENGE WA UHURU WILAYA YA MVOMERO MWAKA 2026
▶︎

MAKALA YA MWENGE WA UHURU WILAYA YA MVOMERO MWAKA 2026

SEHEMU YA PILI FAHAMU KUHUSU KABILA LA WAFIPA MILA NA TAMADUNI ZAO
▶︎

SEHEMU YA PILI FAHAMU KUHUSU KABILA LA WAFIPA MILA NA TAMADUNI ZAO

RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI
▶︎

RC MRINDOKO ASIFU TANGANYIKA DC KUANDAA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE, AONYA WAVAMIZI WA ARDHI

RC MRINDOKO AKABIDHI BASI LA WATUMISHI HOSPITALI YA RUFAA KATAVI.
▶︎

RC MRINDOKO AKABIDHI BASI LA WATUMISHI HOSPITALI YA RUFAA KATAVI.

RC MRINDOKO ATANGAZA MWISHO WA MAKAZI LUHAFWE, UANDIKISHAJI KUANZA MEI 25, 2026
▶︎

RC MRINDOKO ATANGAZA MWISHO WA MAKAZI LUHAFWE, UANDIKISHAJI KUANZA MEI 25, 2026

JE WAJUA? - MELI BANDARI YA KALEMIE  ITAUNGANISHA WASAFIRI KUKATIZA ZIWA TANGANYIKA KWENDA KAREMA.
▶︎

JE WAJUA? - MELI BANDARI YA KALEMIE ITAUNGANISHA WASAFIRI KUKATIZA ZIWA TANGANYIKA KWENDA KAREMA.

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania
▶︎

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania