RC MRINDOKO AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA LAMI KAGWIRA–KAREMA

RC MRINDOKO AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA LAMI KAGWIRA–KAREMA Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, amekagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Kagwira–Karema inayotekelezwa katika Wilaya ya Tanganyika, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa kukagua miradi ya maendeleo mbalimbali inayotekelezwa Mkoani Katavi. Katika ziara hiyo ya ukaguzi, RC Mrindoko amepata fursa ya kujionea hatua mbalimbali za utekelezaji wa mradi huo muhimu wa miundombinu. Barabara hiyo inatarajiwa kurahisisha usafiri na usafirishaji wa watu na mizigo, hasa kwa wananchi wanaoishi katika maeneo yanayozunguka Ziwa Tanganyika. Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, RC Mrindoko amesisitiza umuhimu wa wakandarasi kuhakikisha kazi ya ujenzi inafanyika kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa ili mradi huo uweze kuwanufaisha wananchi wa Tanganyika na mkoa wa Katavi kwa ujumla na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika ukanda huo. Mbali na ukaguzi wa barabara hiyo, Mkuu wa Mkoa ametembelea pia Bandari ya Karema, ambapo amekagua miundombinu yake na kueleza kuwa bandari hiyo ina nafasi muhimu katika kukuza biashara pamoja na kuimarisha usafiri wa majini ndani na nje ya Mkoa wa Katavi. Amebainisha kuwa bandari hiyo ni kiungo muhimu cha usafirishaji kinachounganisha maeneo mbalimbali yanayozunguka Ziwa Tanganyika. Aidha, akizungumza na wananchi pamoja na viongozi wa eneo hilo, Mhe. Mrindoko amewahimiza wananchi wa Wilaya ya Tanganyika tarehe 13/3/2026 kujitokeza kwa wingi kumpokea Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba wakati wa ziara yake mkoani Katavi ambapo ataanzia Wilaya ya Tanganyika. Amesisitiza kuwa ziara hiyo ni fursa muhimu kwa wananchi kushuhudia juhudi za Serikali katika kuwaletea maendeleo kupitia utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya miundombinu na huduma za kijamii.

RC MRINDOKO AYATAJA MAENEO YA UWEKEZAJI YALIYOPO KATAVI| WILAYA YA TANGANYIKA YAONGOZA.
▶︎

RC MRINDOKO AYATAJA MAENEO YA UWEKEZAJI YALIYOPO KATAVI| WILAYA YA TANGANYIKA YAONGOZA.

ZAIDI YA BILIONI 50 ZA TPA ZINAVYOANZA KUIBADILI KATAVI
▶︎

ZAIDI YA BILIONI 50 ZA TPA ZINAVYOANZA KUIBADILI KATAVI

UJENZI MELI 4 ZA MIZIGO ULIPOFIKIA BANDARI YA KAREMA| MELI YA PILI MAKAA YA MAWE YAPAKIWA KAREMA
▶︎

UJENZI MELI 4 ZA MIZIGO ULIPOFIKIA BANDARI YA KAREMA| MELI YA PILI MAKAA YA MAWE YAPAKIWA KAREMA

UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KASEGANYAMA NA KASEKESE WAONGEZA MATUMAINI KWA WANANCHI
▶︎

UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KASEGANYAMA NA KASEKESE WAONGEZA MATUMAINI KWA WANANCHI

TAZAMA NAIBU WAZIRI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA BANDARI YA KAREMA
▶︎

TAZAMA NAIBU WAZIRI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA BANDARI YA KAREMA

MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA
▶︎

MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA

MWILI WA MAREHEMU SACP RICHARD G. ABWAO KUWASILI NYUMBANI KWAO MKOANI MARA WILAYA YA RORYA
▶︎

MWILI WA MAREHEMU SACP RICHARD G. ABWAO KUWASILI NYUMBANI KWAO MKOANI MARA WILAYA YA RORYA

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.
▶︎

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

Waziri Dkt. Ashatu Kijaji ameahidi kuipa TAWIRI kipaumbele ili Kuimarisha tafiti mbalimbali nchini.
▶︎

Waziri Dkt. Ashatu Kijaji ameahidi kuipa TAWIRI kipaumbele ili Kuimarisha tafiti mbalimbali nchini.

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

POLENI WANANCHI, SERIKALI KURUDISHA MAWASILIANO BARABARA YA KATAVI-KIGOMA
▶︎

POLENI WANANCHI, SERIKALI KURUDISHA MAWASILIANO BARABARA YA KATAVI-KIGOMA

BILIONI 2 KUJENGA BARABARA YA LAMI KILOMITA 4 KIJIJI CHA MAJALILA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA.
▶︎

BILIONI 2 KUJENGA BARABARA YA LAMI KILOMITA 4 KIJIJI CHA MAJALILA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA.

MHE. SHIGELA ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI MAWILI SHULE YA SEKONDARI BUKWIMBA
▶︎

MHE. SHIGELA ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI MAWILI SHULE YA SEKONDARI BUKWIMBA

“NATOA MASAA 72 WALIOFANYA UZEMBE KITUO CHA AFYA KAREMA KUCHUKULIWA HATUA ZA KINIDHAMU” DC BUSWELU
▶︎

“NATOA MASAA 72 WALIOFANYA UZEMBE KITUO CHA AFYA KAREMA KUCHUKULIWA HATUA ZA KINIDHAMU” DC BUSWELU

BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.
▶︎

BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

RUVUMA RC INSPECTS CONSTRUCTION OF MNYWAMAJI BRIDGE IN MBINGA
▶︎

RUVUMA RC INSPECTS CONSTRUCTION OF MNYWAMAJI BRIDGE IN MBINGA

VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA YA NYAMA WASIMAMISHWA NA RC KATAVI.
▶︎

VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA YA NYAMA WASIMAMISHWA NA RC KATAVI.

MELI YA KWANZA YA KIMATAIFA YASHUSHA MAFUTA ZANZIBAR
▶︎

MELI YA KWANZA YA KIMATAIFA YASHUSHA MAFUTA ZANZIBAR

BARABARA YA KAGWIRA – KASEKESE INAPITIKA VIZURI SERIKALI YASIKIA KERO NA KUITATUA HARAKA.
▶︎

BARABARA YA KAGWIRA – KASEKESE INAPITIKA VIZURI SERIKALI YASIKIA KERO NA KUITATUA HARAKA.

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera