BANDARI YA KAREMA YATOA NEEMA KWA WANANCHI.
KATAVI : Baada ya bandari ya Karema kukamilika na kuanza shughuli zake mnamo mwaka 2022 ambapo bandari hiyo iko katika halimashauri ya wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi sasa imeanza kutoa fursa kwa wananchi kwa kujipatia shughuli mbalimbali ikiwemo kupakia na kushusha mizigo. Kupitia haki hiyo mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesimo Buswelu amewaalika wawekezaji kufika katika bandari ya Karema kwani kuna fursa za uwekezaji za aina mbalimbali ambapo meli aina ya Teza imetia nanga kwa lengo la kupakia mzigo wa tani 2300. #twende bandar ya Karema

▶︎
ZAIDI YA BILIONI 50 ZA TPA ZINAVYOANZA KUIBADILI KATAVI

▶︎
UJENZI MELI 4 ZA MIZIGO ULIPOFIKIA BANDARI YA KAREMA| MELI YA PILI MAKAA YA MAWE YAPAKIWA KAREMA

▶︎
MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA

▶︎
BANDARI YA KAREMA YAKAMILIKA.. "MELI ZA MSCL ZASUBILIWA KUCHANGAMSHA BIASHARA"

▶︎
KATAVI: MELI NNE ZAJENGWA BANDARI YA KAREMA.

▶︎
BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

▶︎
ZPC imefanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Bandari ya Makontena ya Mangapwani.

▶︎
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
DENIS MPAGAZE: Fahamu Historia Ya WAHA Wa Kigoma Na Utajiri Uliolala Ukanda Huo Wa Maziwa Makuu (1)

▶︎
TAZAMA UZURI WA BANDARI YA KAREMA

▶︎
SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI

▶︎
MAISHA CLINIC//: Emotional Intelligence

▶︎
تلاوة القرآن للدراسة والتركيز 📚🕛 | راحة وطمأنينة | Peaceful Focus Quran | محمد هشام

▶︎
"TUZO ZIKACHOCHEE UWAJIBIKAJI-DC MAJIDI.

▶︎
Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #5 #adamrose #smartworkers

▶︎
MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

▶︎
TANGANYIKA YAGAWA HATI MILIKI 420

▶︎
🔴LIVE: COFFEE OR TEA PART TWO | FRIDAY JUNE 26, 2026

▶︎
Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

▶︎
