Jesca Mshana: Msimamizi wa shule ya kidigitali Tanzania

Katika mfululizo wa makala kuhusu vijana walio chini ya miaka 30 leo tunae Jesca Mshama, msanii wa muziki nchini Tanzania, balozi kijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, mjasiriamali na msimamiawa shule ya msingi ya kidigitali jijini Dar es salaam akiwa na umri wa miaka 26. Mwandishi wa BBC @frankmavura amefanya mazungumzo na @jessicamshama na kuandaa taarifa hii. #bbcswahili #tanzania #jescamshana