Hustler: Jessica Mshama - alikabidhiwa supermarket ikiwa na Mil. 80, amekuza mtaji hadi Mil. 200
Jessica Mshama ni binti mwenye miaka 24 ambaye mwaka huu alishinda tuzo ya Malkia wa Nguvu kutokana na mafanikio aliyoyapata akiwa na umri mdogo. Akiwa na umri wa miaka 21, wazazi wake walimkabidhi supermarket iitwayo J Sisters iliyopo Sinza Mori, Dar es Salaam ikiwa na mtaji wa milioni 80. Chini ya usimamizi wake, amefanikiwa kukuza mtaji hadi kufikia zaidi ya milioni 200. Binti huyu ni #Hustler kweli kweli na haoneshi dalili ya kusimama. Mfahamu zaidi na vingine anavyovifanya

▶︎
Nilianza na mtaji wa elfu kumi, Sasa namiliki SuperMarket na njia ni hii hapa

▶︎
JESSICA MSHAMA ANAOVYOSUMBULIWA KUFANANISHWA NA MTOTO WA MAGUFULI,SAFARI YAKE YA MAFANIKIO

▶︎
HASSANARY: Mfanyabiashara mkubwa aliyepitia msoto, kutoka kulala nje hadi kumiliki biashara kubwa

▶︎
PART 01: J Sisters-Msichana mdogo & mwimbaji anayeunyatia 'ubilionea'

▶︎
Jsisters - Ni wewe (Official Video)

▶︎
Jessica(J Sisters) ft Walter Chilambo - Nimeamini (Official Video)

▶︎
HAO NI WEZI ! .Kalamu episode 33.

▶︎
Nilipigania bidhaa hizi ziingizwe Supermarket Tanzania

▶︎
Inama ya Unity Club | ACP Kuradupagase wahoze mu Ngabo za FAR

▶︎
J SISTERS - NIPOKEE (OFFICIAL VIDEO)

▶︎
Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

▶︎
PRESIDENT PAUL KAGAME BWAMBERE MUMATEKA AVUZE UKO KAYUMBA NYAMWASA YAMUSABYE KO BAHUNGIRA UGANDA

▶︎
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 6

▶︎
Hustler: Idrisa Magesa - Muuzaji wa Uji aliyeupa THAMANI na anayevutia wateja wengi vijana wa mjini

▶︎
#EXCLUSIVE na Muazilishi wa neno 'KAZI IENDELEE '| Jessica Mshama | Balozi EAC

▶︎
HUYU NDIE BINTI WA KITANZANIA ALIESHINDA TUZO YA UFANYABIASHARA BORA AFRIKA KUSINI

▶︎
Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass

▶︎
JESCA WA KITAMBAA CHEUPE AFUNGUKA, “SITUMII UCHAWI, SIJADANGA, NAENZI LEGACY YA BABA YANGU, ATAPONA”

▶︎
#LIVE: SATIVA ANAANIKA MAZITO MUDA HUU, KUTEKWA KWAKE MPAKA KUTUPWA KATIKATI YA WANYAMA WAKALI

▶︎
