PART 1:MIGOGORO YA WAZAZI INAVYOHARIBU HATMA ZA WATOTO - SILVIA GUSTAV

Je, unajua kuwa ugomvi mbele ya watoto unaweza kuharibu kabisa hatma yao ya baadaye? Katika mada hii ya leo, tunaangazia kwa kina athari za migogoro ya wazazi na jinsi inavyoathiri utendaji wa mtoto shuleni, mahusiano yake, na kujiamini kwake. Tunaangalia pia mbinu bora za kutatua changamoto za kifamilia bila kuathiri ustawi wa watoto. Usisahau kusubscribe kwa maudhui zaidi ya malezi na familia.