HOTUBA YA RAIS DKT. MAGUFULI KANISANI CHATO - IBADA YA IJUMAA KUU YA PASAKA APRILI 10, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 10 Aprili, 2020 ameungana na Waumini wa Kanisa Katoliki katika Parokia ya Mlimani, Wilaya ya Chato Mkoani Geita kusali Ibada ya Ijumaa Kuu iliyoongozwa na Padre Prof. Innocent Sanga kutoka Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya. Ibada ya Ijumaa Kuu huadhimishwa ikiwa ni kumbukumbu ya kusulubiwa na kufa kwa Bwana Yesu Kristo, zaidi ya miaka 2,000 iliyopita. Katika salamu zake, Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Padre Sanga kwa mahubiri yaliyowakumbusha Wakristo kuwa msalaba unaokoa, na kwamba kupitia msalaba Mungu ataikoa dunia dhidi ya majanga mbalimbali ukiwemo ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19). Mhe. Rais Magufuli amesema mpaka sasa idadi ya Watanzania waliothibitika kuwa na virusi vya Corona ni takribani 29, Watanzania 5 waliopatwa na maambukizi wamepona, Watanzania 3 wamefariki dunia na kwa takribani asilimia 90 ya waliopatwa na virusi hivyo wanaendelea vizuri. Amebainisha kuwa kutokana na madhara ya ugonjwa huo duniani, upo uwezekano wa kutokea upungufu wa chakula, hivyo ametoa wito kwa Watanzania kuzalisha chakula cha kutosha na pia amewataka Watanzania kuendelea kuchapa kazi kila mahali walipo huku wakichukua tahadhari za kutoambukizwa kama wanavyoelekezwa na wataalamu. Mhe. Rais Magufuli amesisitiza kuwa Serikali imeamua kutowazuia watu ndani ya nyumba zao wala kufunga mipaka kwa kutambua madhara makubwa yanayoweza kujitokeza kutokana na kufanya hivyo ndani ya nchi na kwa nchi 8 ambazo zinategemea kupata huduma na bidhaa kupitia Tanzania hususani Bandari ya Dar es Salaam. Amewataka Watanzania wote kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu ili aiepushe dunia na janga la ugonjwa wa Corona.

መዝሙረ ዳዊት መፀለይ ጀምሩ! | ድንቅ ትምህርት በርእሰ ሊቃውንት አባ ገብረኪዳን ግርማ Aba Gebrekidan New Sibket 2026
▶︎

መዝሙረ ዳዊት መፀለይ ጀምሩ! | ድንቅ ትምህርት በርእሰ ሊቃውንት አባ ገብረኪዳን ግርማ Aba Gebrekidan New Sibket 2026

MAGUFULI: "Marufuku mchanga wa dhahabu kwenda nje ya nchi". Kuelekea kumbukizi miaka 4 ya kifo chake
▶︎

MAGUFULI: "Marufuku mchanga wa dhahabu kwenda nje ya nchi". Kuelekea kumbukizi miaka 4 ya kifo chake

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT MAGUFULI WAKATI AKIMUAPISHA CDF,IKULU DSM 06 FEB 2017
▶︎

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT MAGUFULI WAKATI AKIMUAPISHA CDF,IKULU DSM 06 FEB 2017

ሁላችሁም ታውቁ ነበር?ሰኔ ሚካኤል በ12 የክሊዮፓትራ ዙሐል የፈረሰት!
▶︎

ሁላችሁም ታውቁ ነበር?ሰኔ ሚካኤል በ12 የክሊዮፓትራ ዙሐል የፈረሰት!

My Reaction Video to Hotuba ya Mwalimu julius Nyerere
▶︎

My Reaction Video to Hotuba ya Mwalimu julius Nyerere

HECHE HAKAMATIKI, AWAPA UKWELI MCHUNGU POLISI NA WATAWALA, AONGEZEWE ULINZI, ATIKISA MBARALI BALAA
▶︎

HECHE HAKAMATIKI, AWAPA UKWELI MCHUNGU POLISI NA WATAWALA, AONGEZEWE ULINZI, ATIKISA MBARALI BALAA

Rais MUSEVENI Amvunja MBAVU MAGUFULI - "Unajua Maana ya Chato?"
▶︎

Rais MUSEVENI Amvunja MBAVU MAGUFULI - "Unajua Maana ya Chato?"

ALICHOKISEMA RAISI MAGUFULI KANISANI ST. PETERS DSM, AGUSIA MAJARIBU YA SHETANI SIKU 40 NA CORONA
▶︎

ALICHOKISEMA RAISI MAGUFULI KANISANI ST. PETERS DSM, AGUSIA MAJARIBU YA SHETANI SIKU 40 NA CORONA

KISUGU AMWAGA MACHOZI YANGA KUFUNGWA NA AZAM FC
▶︎

KISUGU AMWAGA MACHOZI YANGA KUFUNGWA NA AZAM FC

LIVE : HECHENA MCHUNGAJI MSIGWA WANAUWASHA MOTO IRINGA MJINI
▶︎

LIVE : HECHENA MCHUNGAJI MSIGWA WANAUWASHA MOTO IRINGA MJINI

HECHE AMKINGIA KIFUA JAJI WARIOBA WA CCM | AMEPINGANA NA CCM AMESEMA UKWELI AMEOPINGA MADUDU YA CCM
▶︎

HECHE AMKINGIA KIFUA JAJI WARIOBA WA CCM | AMEPINGANA NA CCM AMESEMA UKWELI AMEOPINGA MADUDU YA CCM

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI KWENYE IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA ARUSHA.8/4/2018
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI KWENYE IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA ARUSHA.8/4/2018

MFANO HUU ALIOUTOA BABA PAROKO ULIVYOWAGUSA WENGI
▶︎

MFANO HUU ALIOUTOA BABA PAROKO ULIVYOWAGUSA WENGI

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA
▶︎

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

Walininywesha Sumu, Nilitaka Kujiuzulu...Magufuli asimulia, almanusura imtoe uhai wake
▶︎

Walininywesha Sumu, Nilitaka Kujiuzulu...Magufuli asimulia, almanusura imtoe uhai wake

MALIPO YA WENYE KUTOA KIDOGO KWAJILI YA ALLAH //Sheikh Othmann Maalim
▶︎

MALIPO YA WENYE KUTOA KIDOGO KWAJILI YA ALLAH //Sheikh Othmann Maalim

የብዙዎችን ህይወት የቀየረው ታሪክ || ድንቅ ስብከት በዲያቆን ሄኖክ ኃይሌ || henok haile new sibket || orthodox new sibket
▶︎

የብዙዎችን ህይወት የቀየረው ታሪክ || ድንቅ ስብከት በዲያቆን ሄኖክ ኃይሌ || henok haile new sibket || orthodox new sibket

𝗞𝗮𝘂𝗹𝗶 𝟭𝟬 𝗧𝗮𝘁𝗮 𝘇𝗮 𝗠𝗮𝗴𝘂𝗳𝘂𝗹𝗶 𝗟𝗮𝘇𝗶𝗺𝗮 𝗨𝘇𝗶𝗸𝘂𝗺𝗯𝘂𝗸𝗲 𝗞𝗮𝗯𝗹𝗮 𝗬𝗮 𝗨𝗰𝗵𝗮𝗴𝘂𝘇𝗶 𝟮𝟬𝟮𝟬
▶︎

𝗞𝗮𝘂𝗹𝗶 𝟭𝟬 𝗧𝗮𝘁𝗮 𝘇𝗮 𝗠𝗮𝗴𝘂𝗳𝘂𝗹𝗶 𝗟𝗮𝘇𝗶𝗺𝗮 𝗨𝘇𝗶𝗸𝘂𝗺𝗯𝘂𝗸𝗲 𝗞𝗮𝗯𝗹𝗮 𝗬𝗮 𝗨𝗰𝗵𝗮𝗴𝘂𝘇𝗶 𝟮𝟬𝟮𝟬

NDIO MAANA MKEO ANAKUPIGA MAKOFI,MAGUFULI AMKALIPIA MKURUGENZI WA ILONGA
▶︎

NDIO MAANA MKEO ANAKUPIGA MAKOFI,MAGUFULI AMKALIPIA MKURUGENZI WA ILONGA

Itakuliza.! HOTUBA YA KUSISIMUA NA HISIA KALI YA HAYATI MAGUFULI
▶︎

Itakuliza.! HOTUBA YA KUSISIMUA NA HISIA KALI YA HAYATI MAGUFULI