Walininywesha Sumu, Nilitaka Kujiuzulu...Magufuli asimulia, almanusura imtoe uhai wake

RAIS John Magufuli amesema utendaji wake wa kazi ambao ulimfanya Rais Benjamin Mkapa akiwa madarakani wakati huo amsifie hadharani, ulisababisha anyweshwe sumu na ilibaki kidogo apoteze maisha. Ameyasema hayo Jumanne, Novemba 12, 2019, katika uzinduzi wa kitabu cha rais mstaafu Benjamin Mkapa kiitwacho cha ‘My Life, My Purpose’ (Maisha Yangu, Kusudio Langu) uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. “Nilipofanya kazi vizuri Mzee Mkapa hakusita kunisifia na sitosahau siku aliyotangaza kuwa mimi ni askari wake wa mwamvuli, baada ya kutangazwa hivyo nilichukiwa na viongozi wengine tena wa ngazi za juu hadi kufikia hatua ya kunyweshwa sumu Dodoma,” alisema. “Nashukuru Mungu baada ya kunyweshwa sumu na kupona, nilienda kwa Mzee Mkapa na kumueleza azma yangu ya kujiuzulu, nakumbuka aliniangalia kwa jicho la baba na mwana akanipa ujasiri na kuniambia usijiuzulu, akanipa ulinzi na nikaendelea kuchapa kazi. “Katika tukio hilo nilimuona Mzee Mkapa kama mtu anayekupa matumaini wakati wewe ukiwa umekata tamaa. Mzee Mkapa nakushukuru sana, nimejifunza kutowasifu wateule wangu hata kama wanafanya mazuri mengi, yasije yakawatokea yaliyonikuta mimi wakati uliponisifia,” amesisitiza Magufuli.

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI YA ALMASI NA TANZANITE
▶︎

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI YA ALMASI NA TANZANITE

MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
▶︎

MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO

MAGUFULI ALIJUA ATAFARIKI - ALIWAITA WACHUNGAJI WAMSALIE SALA ya MAREHEMU WODINI - MABEYO ASIMULIA..
▶︎

MAGUFULI ALIJUA ATAFARIKI - ALIWAITA WACHUNGAJI WAMSALIE SALA ya MAREHEMU WODINI - MABEYO ASIMULIA..

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
▶︎

MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"

EXCLUSIVE: JESCA MAGUFULI ASIMULIA SIKU ZA MWISHO ZA RAIS MAGUFULI KABLA YA KIFO (SAUTI IMEBORESHWA)
▶︎

EXCLUSIVE: JESCA MAGUFULI ASIMULIA SIKU ZA MWISHO ZA RAIS MAGUFULI KABLA YA KIFO (SAUTI IMEBORESHWA)

Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
▶︎

Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.

Mfahamu EUGENE MAGANGA Mwanajeshi Aliyetaka Kumpindua NYERERE/ Kilichomkuta BALAA!
▶︎

Mfahamu EUGENE MAGANGA Mwanajeshi Aliyetaka Kumpindua NYERERE/ Kilichomkuta BALAA!

Umunsi mbona Afande (Perezida Kagame) ni bwo nemeye ko mfite amahoro- DCG Ujeneza wahoze muri EX-FAR
▶︎

Umunsi mbona Afande (Perezida Kagame) ni bwo nemeye ko mfite amahoro- DCG Ujeneza wahoze muri EX-FAR

MFAHAMU MUONJA CHAKULA CHA RAIS/ AFICHUA MAISHA YA IKULU/ KAZI YA KIFO/ HAIJAWAHI KUTOKEA!
▶︎

MFAHAMU MUONJA CHAKULA CHA RAIS/ AFICHUA MAISHA YA IKULU/ KAZI YA KIFO/ HAIJAWAHI KUTOKEA!

Mkapa aunguruma UDSM, akiri kukosea sera ya ubinafsishaji, agusia katiba mpya
▶︎

Mkapa aunguruma UDSM, akiri kukosea sera ya ubinafsishaji, agusia katiba mpya

MAGUFULI AMKAANGA KIGOGO TAKUKURU "MNAJIPENDEKEZA KWANGU, MIMI MOYO USHAKUA SUGU"
▶︎

MAGUFULI AMKAANGA KIGOGO TAKUKURU "MNAJIPENDEKEZA KWANGU, MIMI MOYO USHAKUA SUGU"

RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA
▶︎

RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

MAGUFULI - "NILINYWESHWA SUMU, KIKWETE ALINIFUKUZA, SIKUKATA TAMAA"
▶︎

MAGUFULI - "NILINYWESHWA SUMU, KIKWETE ALINIFUKUZA, SIKUKATA TAMAA"

Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
▶︎

Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake

HOTUBA YA RAIS DKT.  JOHN POMBE MAGUFULI  ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

Oscar Kambona, Nyerere na Ndege Iliyotekwa Mwaka 1982
▶︎

Oscar Kambona, Nyerere na Ndege Iliyotekwa Mwaka 1982

NDIO MAANA MKEO ANAKUPIGA MAKOFI,MAGUFULI AMKALIPIA MKURUGENZI WA ILONGA
▶︎

NDIO MAANA MKEO ANAKUPIGA MAKOFI,MAGUFULI AMKALIPIA MKURUGENZI WA ILONGA

Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
▶︎

Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa