Walininywesha Sumu, Nilitaka Kujiuzulu...Magufuli asimulia, almanusura imtoe uhai wake
RAIS John Magufuli amesema utendaji wake wa kazi ambao ulimfanya Rais Benjamin Mkapa akiwa madarakani wakati huo amsifie hadharani, ulisababisha anyweshwe sumu na ilibaki kidogo apoteze maisha. Ameyasema hayo Jumanne, Novemba 12, 2019, katika uzinduzi wa kitabu cha rais mstaafu Benjamin Mkapa kiitwacho cha ‘My Life, My Purpose’ (Maisha Yangu, Kusudio Langu) uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. “Nilipofanya kazi vizuri Mzee Mkapa hakusita kunisifia na sitosahau siku aliyotangaza kuwa mimi ni askari wake wa mwamvuli, baada ya kutangazwa hivyo nilichukiwa na viongozi wengine tena wa ngazi za juu hadi kufikia hatua ya kunyweshwa sumu Dodoma,” alisema. “Nashukuru Mungu baada ya kunyweshwa sumu na kupona, nilienda kwa Mzee Mkapa na kumueleza azma yangu ya kujiuzulu, nakumbuka aliniangalia kwa jicho la baba na mwana akanipa ujasiri na kuniambia usijiuzulu, akanipa ulinzi na nikaendelea kuchapa kazi. “Katika tukio hilo nilimuona Mzee Mkapa kama mtu anayekupa matumaini wakati wewe ukiwa umekata tamaa. Mzee Mkapa nakushukuru sana, nimejifunza kutowasifu wateule wangu hata kama wanafanya mazuri mengi, yasije yakawatokea yaliyonikuta mimi wakati uliponisifia,” amesisitiza Magufuli.

SPEECH BY PRESIDENT DR. JOHN POMBE MAGUFULI AT THE SWEARING-IN CEREMONY OF NEWLY APPOINTED OFFICI...

ITAKULIZA HOTUBA HII YA UKOMBOZI NA UZALENDO WA MFALME JPM KWA SISI WATOTO WAKE.

MAGUFULI ALIJUA ATAFARIKI - ALIWAITA WACHUNGAJI WAMSALIE SALA ya MAREHEMU WODINI - MABEYO ASIMULIA..

"MAGUFULI ALIPOKUFA SIKUTOA CHOZI" TUNDU LISSU AMSIFIA MAGUFULI SIRI HII HAPA...

Kagame recounts night in a Paris prison and the warning that came before genocide

MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"

LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"

NILIKUWA NIKIENDA KAZINI NAVAA KILO 8 ZA BULLET PROOF | BALOZI AMI MPUNGWE

RUBANI MDOGO TANZANIA: ATAJA BEI YA KUSOMEA URUBANI/ UNAVYOLIPA/ JINSI YA KURUSHA NDEGE

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

“Sijawahi kupewa vitu vya burebure ama vitu vya dezo kwa Kiswahili cha mjini - JPM

'KUANZIA LEO WEWE SI KAMANDA TENA'FURIOUS PRESIDENT MAGUFULI FIRES LAZY WORKER ON SPOT!

SHUHUDIA MKURUGENZI AUMBULIWA, AOMBA MSAMAHA MARA 3 MBELE YA RAIS MAGUFULI, KIDOGO ATUMBULIWE

MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA'

EXCLUSIVE: JESCA MAGUFULI ASIMULIA SIKU ZA MWISHO ZA RAIS MAGUFULI KABLA YA KIFO (SAUTI IMEBORESHWA)

KUHUSU KIFO MANENO YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI | MANENO MAZITO KWA KIJAZI

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA mp4

SIKIA..!! Vituko vya Makongoro Nyerere mbele ya RAIS SAMIA | "Nivue barakoa..?"

