HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI KWENYE IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA ARUSHA.8/4/2018
Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Askofu Mkuu Mstaafu Lebulu kwa utumishi wake na ushirikiano ulioutoa kwa Serikali katika kipindi chote cha miaka 20 aliyokuwa Askofu Mkuu na amempongeza Askofu Mkuu Isaac Amani kwa kusimikwa kuliongoza Jimbo Kuu Katoliki la Arusha. Mhe. Rais Magufuli amemuahidi Askofu Mkuu Isaac Amani, Maaskofu wote na viongozi wote wa madhehebu ya dini hapa nchini kuwa Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kushirikiana na viongozi hao katika masuala mbalimbali. Kwa kunukuu vifungu mbalimbali vya Biblia, Mhe. Rais Magufuli amesisitiza umuhimu wa Watanzania wote wakiwemo viongozi wa dini, Serikali na wanasiasa kudumisha amani, na kwamba Serikali anayoiongoza itakuwa tayari wakati wote kutoa ushirikiano katika kuhakikisha amani inakuwepo.

HOTUBA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE UZINDUZI WA UKUTA WA MIRERANI.06 APRILI 2018

Rais Magufuli atinga kanisani kwa Wasabato Magomeni, awapa pesa

MUIMBAJI AMBWENE ASIMULIA AJALI ILIYOUA WATOTO 7 WA FAMILIA MOJA - "NILIISHANGAA IMANI YA YULE MAMA"

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI MAADHIMISHO MIAKA 150 YA UKATOLIKI TANZANIA BARA

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBEMAGUFULI,SIKU YA SHERIA DUNIANI,FEBRUARY 4,2016

Bishop Gwajima's speech 'broke the ribs' of President Magufuli in parliament

Rais Samia Aomba Kumsalimia Kardinali Pengo Kabla ya Kumaliza Hotuba yake kwa Makardinali & Maaskofu

RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU

LIVE: RAIS DKT. JOHN MAGUFULI KATIKA IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU MKUU WA JIMBO KUU KATOLIKI LA ARUSHA

AIZACK AMANI AKISIMIKWA KUWA ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI LA MOSHI MWAKA 20008.

Live : Rais Magufuli Katika Misa Ya Kusimikwa Kwa Askofu Arusha

JPM ‘alipomtwangia’ simu Jafo na kumtaka aanze safari ya kwenda Mkuranga

"Sikuja kuuza sura nilipendwa na mke wangu inatosha"- Rais Magufuli

FULL VIDEO- TUNDU LISU AMUITA RAIS MAGUFULI DIKTETA UCHWALA

HOTUBA YA RAIS DKT. MAGUFULI KANISANI CHATO - IBADA YA IJUMAA KUU YA PASAKA APRILI 10, 2020

Homilia ya Askofu Isack Amani - Siku ya Tatu ya Kongamano la Ekaristi Takatifu - Msimbazi Centre DSM

Rais Magufuli achangisha fedha Kanisani, kujenga Msikiti.

INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA

KIPINDI MAALUM MIAKA 4 MADARAKANI YA RAIS DKT. MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO - MADINI

