TADB yawahimiza wakulima na wafugaji kuchangamkia mikopo 'dhamana ipo'
Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini (TADB) imewahimiza wakulima na wafugaji wenye uhitaji wa mikopo kwa ajili ya shughuli zao kutumia fursa ya dhamana ya mikopo iliyowekwa na serikali kupitia benki hiyo ili kuchochea ukuaji wa shughuli hizo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Frank Nyabundege alipokuwa akitoa mafanikio ambayo benki hiyo imeendelea kuyapata ikiwemo kutoa mikopo ya zaidi ya Shilingi Bilioni 317 kufikia Juni 2024 kwa wakulima na wafugaji nchini. Imeandaliwa na Esterbella Malisa || Mhariri @moseskwindi

▶︎
'Vijana Wenye Sifa za Kukopesheka' - Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo, Frank Nyabundege

▶︎
EXCLUSIVE INTERVIEW: MIAKA 10 YA UBORA BENKI YA WAKULIMA

▶︎
FAHAMU KUHUSU MAGARI ya MIKOPO - KUMBE BENKI INAWEZA KUFANYA PIA - WAFUNGUKA...

▶︎
MIKOPO YA KILIMO NA BIMA YA MAZAO/ MIFUGO SHAMBANI - UTARATIBU WOTE WA CRDB BANK HUU HAPA.

▶︎
Afisa maendeleo ya jamii akielezea namna ya kupata Mikopo ya serikali isiyo na riba #em onlinetv

▶︎
ZINGATIA MAMBO HAYA KAMA UNATAKA KUFANYA BIASHARA YA NAFAKA

▶︎
SERIKALI YATANGAZA NJIA MPYA YA KUPATA VITAMBULISHO VYA NIDA

▶︎
BASHE ATAKA BENKI ZA KILIMO ZIRUDI WIZARA YA KILIMO, RAIS KUZINDUA BENKI YA WAKULIMA

▶︎
Habari Njema kwa Wakulima Ukitaka kunufaika na Mkopo wa Benki ya Maendeleo Kilimo fanya mambo haya

▶︎
Mkulima Kwa Mkulima Na SAGCOT

▶︎
TADB YATANGAZA FURSA ZA MIKOPO YA KILIMO | YATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA

▶︎
MIKOPO YA KILIMO NMB INAVYOINUA WAKULIMA | JINSI YA KUPATA NA MAREJESHO RAHISI

▶︎
BENKI YA ABSA TANZANIA, KUTOA MIKOPO KWA WANANCHI, MASHARTI NI NAFUU

▶︎
NMB BANK KUTOA MIKOPO KWA WAKULIMA,WAFUGAJI NA WAVUVI YATENGA 100 BILIONI.

▶︎
TADB-BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA| A SHORT DOCUMENTARY

▶︎
Mikopo Isiyo na Riba .. Amana Benk Wafafanua Hilo.. Darul Maarif Day .. Makao Makuu Bakwata. 2023

▶︎
Watanzania watakiwa kuchangamkia Fursa ya mikopo kwa ajili ya Kilimo

▶︎
Jinsi Mkopo wa TADB Ulivyomgeuza Mkulima Mdogo Kuwa Mwekezaji Mkubwa wa Maziwa

▶︎
Unataka Kufuga Ng’ombe wa Maziwa? Hizi Ndizo Siri za Mafanikio! 🚀🐄

▶︎
