Jinsi Mkopo wa TADB Ulivyomgeuza Mkulima Mdogo Kuwa Mwekezaji Mkubwa wa Maziwa
#TADB #miaka10yamabadiliko Maisha yanabadilika kwa mikopo yenye riba nafuu! Tazama ujifunze namna riba nafuu na ufadhili wa kilimo vinaweza kuleta mabadiliko ya kweli! Huyu hapa JSM Dairy kutoka Arusha mfugaji aliyepiga hatua kubwa kutoka kuwa na ng’ombe 6 hadi 200, akizalisha zaidi ya lita 1,200 za maziwa kwa siku kupitia mkopo wa TADB wenye riba nafuu ya 9%. Kupitia uwezeshaji wa TADB, JSM Dairy ameweza: ✅ Kuongeza uzalishaji na idadi ya ng’ombe ✅ Kupata vifaa na teknolojia za kisasa ✅ Kuajiri vijana ✅ Kupanua mashamba na soko Hivi ndivyo TADB inavyowainua wafugaji nchini! 👉 Usisahau kusubscribe, like na kushare na wengine! #KilimoKinaBenkika #Miaka10YaTADB #10YearsOfTransformation #TADBImpact #KilimoBiashara #JSMdairy #MaziwaBora #ShuhudaTADB #AgribusinessSuccess

Kilimo Almasi | Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

SIMULIZI YA MFUGAJI ALIYEPATIWA NG’OMBE WA LITA 45 ZA MAZIWA KWA SIKU NA TADB

🎙️ Podcast Shambani – Episode 08: TADB yamuinua mfugaji wa kuku wa mayai Zanzibar

JIFUNZE KWA VIJANA HAWA WALIOWEKEZA MAMILIONI KWENYE KILIMO CHA KISASA, UZOEFU WAO | KilimoPro

KILIMO ALMASI | Ng'ombe wa maziwa na faida zake

NG'OMBE GHALI ANAUZWA MILIONI 30, AMENONA, ANA KILO 970, MBEGU ZAKE DILI KUBWA, MMILIKI ANAO 76

Ajira, Kipato na Mageuzi: Hivi ndivyo Bilioni 7 Zilivyofufua Sekta ya Maziwa Kagera

TAZAMA:MKURUGENZI WA ASAS ANENA KUHUSU MBUZI MWENYE MAAJABU MBELE YA RAIS SAMIA, 'UFUGAJI BORA'

TADB Yawezesha Wafugaji wa Oltrumet kwa Mitamba Bora ya Maziwa 🐄

UFUGAJI MBUZI, UZAO MAPACHA 2 HADI 3, MBEGU BORA KIBIASHARA, UZOEFU WA MFUGAJI, KUZAA MARA 3

Raphael Group Limited | Amewezeshwa na TADB

Huyu hapa Mfugaji anaezalisha Trey 3000 za mayai kila siku mkoani Kigoma!

UFUGAJI NG'OMBE WA MAZIWA WA KISASA, LITA 600 KWA SIKU, UZOEFU WA KITAALAM, MBEGU BORA | KilimoPro

Ufugaji wa kisasa wa ng'ombe wa maziwa kijiji Wilaya ya Mufindi.

Nguruwe Anaweza Kukupa Milioni 1 Ndani ya Miezi 6? Ukweli wa Kitaalamu

Mwanachama Chama cha Ushirika wa Wafugaji Kiluvya (CHAWAKIM)

Ukisikia Ufugaji Unatajirisha NIKWELI Usibishe !! Mzee Anapata Maziwa Lita zaidi ya 200 kila siku.

UFUGAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA / MALEZI YA NDAMA / UTAJIFUNZA MENGI

Mbinu Mpya za Upandikizaji kwa Njia ya Kitaalamu katika Ng’ombe | Ufugaji wa Kisasa Zanzibar”

