HUU HAPA MWENENDO WA BARABARA YA LIWALE TO MOROGORO

Mwenendo wa ujenzi wa barabara ya inayoanza njia panda ya kijiji cha Napata wilayani Liwale mkoani Lindi mpaka Mkangira kwenye makutano ya moto ambao unatenganisha wilaya ya Liwale na mkoani Morogoro ambayo kwa hatua ya kwanza itagharimu zaidi ya shilingi milioni 700 kwa kazi ya uchongaji na ukataji miti fedha hizo zilizotokana na UVICO 19. Hayo yamebainishwa na mkuu wa wilaya ya Liwale,Judith Nguli akiwa kwenye ziara kwenye ujenzi wa barabara hiyo ambayo inapita kwenye hifadhi ya Taifa ya Nyerere kusini Liwale ambapo ajionenea mwenendo wa kazi inayofanyika katika hatua ya uchongaji wa barabara wa km 130 huku mradi huo ukitarajia kukamilika ndani ya miezi 6 na umeanza februari 7 na kuishia agosti 7,2022. Ukamilikaji wa barabara hiyo itafungua wilaya ya Liwale na mkoa wa Morogoro huku itasaidia katika kuhakikisha zoezi la dori kwenye hifadhi ya Taifa ya Nyerere. KARIBU COM TV , Television ya Mtandaoni ambayo imejidhatiti katika kuakikisha unapata habari ,Matukio ,Burudani za ndani na nje ya Tanzania kwa uharaka na uwakika. Unaweza kutupata kwenye mitandao ya kijamii kama hivi INSTAGRAM : https://www.instagram.com/p/CPIn1ZNhB... #COM TV #Comtv #Com Tv #LINDI #Tanzania #Liwale #habari #michezo #COM TV #Comtv #Com Tv #COM TV, #Comtv, #Com Tv

WASAFIRI WA KWENDA NGENDE WAFUNGUKA/SIKU 4 PORINI
▶︎

WASAFIRI WA KWENDA NGENDE WAFUNGUKA/SIKU 4 PORINI

BARABARA YA LIWALE TO NANGURUKURU YAFUNGUKA NDANI YA SAA 24
▶︎

BARABARA YA LIWALE TO NANGURUKURU YAFUNGUKA NDANI YA SAA 24

Liwale walia na ubovu wa barabara, wasikitishwa na ahadi hewa za wanasiasa
▶︎

Liwale walia na ubovu wa barabara, wasikitishwa na ahadi hewa za wanasiasa

LATRA YATOA SIKU SABA KWA DALADALA KUHAMIA KITUO CHA MWENDOKASI MBAGALA RANGI TATU
▶︎

LATRA YATOA SIKU SABA KWA DALADALA KUHAMIA KITUO CHA MWENDOKASI MBAGALA RANGI TATU

SIMULIZI YA NGENDE NA MAAJABU YAKE/KUWA KIVUTIO CHA WATALII
▶︎

SIMULIZI YA NGENDE NA MAAJABU YAKE/KUWA KIVUTIO CHA WATALII

MAWAZIRI ZANZ WANA KAULI ZA KIBAGUZI | MBUNGE MSUKUMA AWASHA MOTO | ATOA ONYO NA MAAGIZO KWA RAIS
▶︎

MAWAZIRI ZANZ WANA KAULI ZA KIBAGUZI | MBUNGE MSUKUMA AWASHA MOTO | ATOA ONYO NA MAAGIZO KWA RAIS

"KANDA HII WANAIOGOPA ETI KUNA UCHAWI SANA, HAKUNA UCHAWI NI KUTOKUJUA MAMBO MAZURI" MIZENGO PINDA
▶︎

"KANDA HII WANAIOGOPA ETI KUNA UCHAWI SANA, HAKUNA UCHAWI NI KUTOKUJUA MAMBO MAZURI" MIZENGO PINDA

MKULIMA, MMILIKI WA RUANGWA HOTEL AFUNGUKA | "NI YANGU NA FAMILIA YANGU"
▶︎

MKULIMA, MMILIKI WA RUANGWA HOTEL AFUNGUKA | "NI YANGU NA FAMILIA YANGU"

WAZIRI MKUU AAGIZA JESHI KUINGIA LINDI KUTOA MSAADA WA CHAKULA haraka WAaTHIRIKA WA MVUA KUBWA
▶︎

WAZIRI MKUU AAGIZA JESHI KUINGIA LINDI KUTOA MSAADA WA CHAKULA haraka WAaTHIRIKA WA MVUA KUBWA

BASHUNGWA ATOA MASAA MATATU KUREJESHWA MAWASILIANO YA BARABARA YA MTWARA MASASI ILIYOKATIKA
▶︎

BASHUNGWA ATOA MASAA MATATU KUREJESHWA MAWASILIANO YA BARABARA YA MTWARA MASASI ILIYOKATIKA

BASHUNGWA HAKUNA KULALA APIGA KAMBI LINDI, BARABARA YA LIWALE - NANGURUKURU YAANZA KUPITIKA
▶︎

BASHUNGWA HAKUNA KULALA APIGA KAMBI LINDI, BARABARA YA LIWALE - NANGURUKURU YAANZA KUPITIKA

"TUMETOKA DODOMA- RAIS KATOA HELIKOPTA-MKANDARASI YUPO DAR" -WAZIRI BASHUNGWA AMTUMBUA BOSI TANROADS
▶︎

"TUMETOKA DODOMA- RAIS KATOA HELIKOPTA-MKANDARASI YUPO DAR" -WAZIRI BASHUNGWA AMTUMBUA BOSI TANROADS

GUMZO CHAKULA CHA MAMA NTILIE KARIAKOO KUGOMBANIWA, TETESI ZA NDUMBA, MAFANIKIO AFUNGUKA
▶︎

GUMZO CHAKULA CHA MAMA NTILIE KARIAKOO KUGOMBANIWA, TETESI ZA NDUMBA, MAFANIKIO AFUNGUKA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026
▶︎

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

HISTORY: How the Wangindo Tribe burned down the German Liwale Farm
▶︎

HISTORY: How the Wangindo Tribe burned down the German Liwale Farm

BASHUNGWA AMUONDOA MENEJA WA TANROADS MKOA WA LINDI, MTAALAM WA FALSAFA AKUTWA 'SITE' AKISIMAMIA..
▶︎

BASHUNGWA AMUONDOA MENEJA WA TANROADS MKOA WA LINDI, MTAALAM WA FALSAFA AKUTWA 'SITE' AKISIMAMIA..

BASHUNGWA ATOA MASAA MATATU KUREJESHWA MAWASILIANO YA BARABARA YA MTWARA - MASASI ILIYOKATIKA
▶︎

BASHUNGWA ATOA MASAA MATATU KUREJESHWA MAWASILIANO YA BARABARA YA MTWARA - MASASI ILIYOKATIKA

MRADI LIWALE WAKATALIWA KUZINDULIWA KWA SABABU HIZI HAPA
▶︎

MRADI LIWALE WAKATALIWA KUZINDULIWA KWA SABABU HIZI HAPA

WAKAZI WA KIJIJI CHA MPIGAMITI LIWALE WAIOMBA SERIKALI JENGO LA 0PD LIKAMILIKE KWA WAKATI.
▶︎

WAKAZI WA KIJIJI CHA MPIGAMITI LIWALE WAIOMBA SERIKALI JENGO LA 0PD LIKAMILIKE KWA WAKATI.

HATIMAE NDOTO YA MKULIMA KUMILIKI HOTEL YA KIFAHARI YATIMIA WILAYANI RUANGWA-LINDI
▶︎

HATIMAE NDOTO YA MKULIMA KUMILIKI HOTEL YA KIFAHARI YATIMIA WILAYANI RUANGWA-LINDI