MADEREVA BODABODA MBEYA WATOFAUTIANA KIKAO CHA MBUNGE WENGINE WASUSIA KIKAO NA KUONDOKA UKUMBINI
MADEREVA BODABODA MBEYA WATOFAUTIANA KIKAO CHA MBUNGE WENGINE WASUSIA KIKAO NA KUONDOKA UKUMBINI Baadhi ya madereva pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda jijini Mbeya wamesusia kikao cha mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Patrick Mwalunenge kwa kile wanachodai kutokumuona mwenyekiti wa umoja wa bodaboda jiji la Mbeya Aliko Fwanda. Hayo yamejiri baada ya mbunge huo kuingia kwenye ukumbi kwa ajili ya kuanza kikao hicho na alipoanza tu kuongea madereva hao wakaanza kupiga kelele hali iliyosababisha mbunge huyo kumuomba mmoja wa bodaboda aje aeleze kwa nini wanapiga kelele baada ya maelezo ya bodaboda huyo ndipo mbunge akampigia simu mwenyekiti wa bodaboda jiji la Mbeya ili aje kwenye kikao hicho lakini mwenyekiti huyo akaeleza kuwa anakwenda msibani hatoweza kuhudhuria hivyo baadhi ya bodaboda wakaondoka ukumbini hapo. Lakini mbunge hata hivyo kikao hicho kikaendelea kwa madereva pikipiki waliosalia ukumbini humo na mbunge huyo akaeleza madhumuni ya kikao hicho.

HECHE ASHINDIKANA, CCM WAISOMA NAMBA APIGILIA MSUMALI LISSU ALIPOISHIA KUKAMATWA, RPC APEWA ZA USO

Sacking Ken Agyapong will not be in the best interest of the NPP - Kwasi Kwarteng

BOSOLO NA POLITIK | 19 JUIN | CE QUI SE CACHE DERRIÈRE LES MOTS DE TSHISEKEDI ENVERS KABILA

🔴#LIVE: NI BALAA WANANCHI WAFURIKA KUMPOKEA HECHE SONGEA MJINI

KAULI YA HOSPITAL KUHUSU MGONJWA ALIYEZUILIWA KWASABABU YA DENI LA MILIONI 5

🛑FRIJI BOVU AWAONYA YANGA WASIOMBE KUKUTANA NA SIMBA HII YA SASA , HII SIMBA YAMOTO SANA AISEEEE

BODABODA WALIOSUSIA KIKAO CHA MBUNGE WA JIMBO LA MBEYA MJINI WAELEZA SABABU YA KUSUSIA NA KUONDOKA

HECHE ANAJIAMINI NINI? AJITOA TENA SADAKA MASASI, AONGEZEWE ULINZI, AIKAANGA SERIKALI YA RAIS SAMIA

ALLY KAMWE ALIPUKA WANAYOFANYIWA "MSHERY KAPATA MAJERAHA KIAINA TU/ MECHI NA FOUNTAIN TULIMNASA MTU"

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

"ARABUZWA N'IKI GUTAHA KO AMAREMBO AFUNGUYE" DR MURANGIRA KURI YAGO PONDAT

HECHE AWASHA MOTO SONGEA MJINI, AWAVAA ASKARI POLISI "INTERNET NAISAHAU"

🔴DIRECT L'invité de #MNF: Cheikh Yérim sur la décison du CC; Sonko sur la dette; Gestion du pays

"MKIENDELEA TUTAFIKA MBALI" MNYIKA AMKUMBUSHA ALLY HAPI, AMJIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA

"Bandit Who Killed General Rabe Is Known To Govt" — Tinubu In Panic Mode | Prof Yusuf

''Mimi ndio mwenye Zanzibar ID,''' WAZIR KITWANA AWASHUKIA DR NASSRA NA PROF OMAR

MTIFUANO MKALI || CHADEMA JIMBO LA MBEYA MJINI LAJITENGA NA KAULI ZA MWENYEKITI WA BAZECHA MKOA

MANENO MAZITO YA MNYIKA KWA WANANCHI WA SONGEA AWASHA MOTO NA KUACHA MAJUKUMU MAZITO

