MTIFUANO MKALI || CHADEMA JIMBO LA MBEYA MJINI LAJITENGA NA KAULI ZA MWENYEKITI WA BAZECHA MKOA

MTIFUANO MKALI CHADEMA JIMBO LA MBEYA MJINI LAJITENGA NA KAULI ZA MWENYEKITI WA BAZECHA MKOA WA MBEYA Viongozi wa chama cha demokrasia CHADEMA jimbo la Mbeya mjini wamepinga vikali kauli ya mwenyekiti wa baraza la wazee wa chama cha demokrasia CHADEMA mkoa wa Mbeya John David Mwambigija na mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Mbeya vijijini Getruda Lengesela walizozitoa wakiwa kwenye msiba wa aliyekuwa shangazi wa mbunge wa jimbo la Mbeya mjini kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM Patrick Mwalunenge. Wakizungumza na wanahabari viongozi hao ambao ni mwenyekiti wa chama cha demokrasia CHADEMA jimbo la Mbeya mjini Fokile Shitambala, katibu wa chama cha demokrasia CHADEMA jimbo la Mbeya mjini Pess Mapunda, mwenyekiti wa baraza la wazee wa chama cha demokrasia CHADEMA BAZECHA jimbo la Mbeya mjini Felix Mkusa na mwenyekiti wa baraza la vijana wa chama cha demokrasia CHADEMA BAVICHA jimbo la Mbeya mjini Hassan Mwamwembe wamesema kauli hizo dsio msimamo wa CHADEMA ni kauli zao binafsi.

HECHE ANAJIAMINI NINI? AJITOA TENA SADAKA MASASI, AONGEZEWE ULINZI, AIKAANGA SERIKALI YA RAIS SAMIA
▶︎

HECHE ANAJIAMINI NINI? AJITOA TENA SADAKA MASASI, AONGEZEWE ULINZI, AIKAANGA SERIKALI YA RAIS SAMIA

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu
▶︎

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

CHADEMA Cadre Who Praised CCM MP Hits Back at Critics
▶︎

CHADEMA Cadre Who Praised CCM MP Hits Back at Critics

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”
▶︎

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”

"MKIENDELEA TUTAFIKA MBALI" MNYIKA AMKUMBUSHA ALLY HAPI, AMJIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA
▶︎

"MKIENDELEA TUTAFIKA MBALI" MNYIKA AMKUMBUSHA ALLY HAPI, AMJIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA

WAMENIPONZA
▶︎

WAMENIPONZA

''Mimi ndio mwenye Zanzibar ID,''' WAZIR KITWANA AWASHUKIA DR NASSRA NA PROF OMAR
▶︎

''Mimi ndio mwenye Zanzibar ID,''' WAZIR KITWANA AWASHUKIA DR NASSRA NA PROF OMAR

MARIASPACES: KUPITISHWA KWA MSWADA WA SENATE(BUNGE LABUSA) MAUAJI  OCT29,MBINU KWENDA MAANDAMANO 7/7
▶︎

MARIASPACES: KUPITISHWA KWA MSWADA WA SENATE(BUNGE LABUSA) MAUAJI OCT29,MBINU KWENDA MAANDAMANO 7/7

WASIOJULIKANA WAVUNJA OFISI ZA CHADEMA KANDA YA NYASA WAONDOKA NA KADI ZA WANACHAMA NA BENDERA
▶︎

WASIOJULIKANA WAVUNJA OFISI ZA CHADEMA KANDA YA NYASA WAONDOKA NA KADI ZA WANACHAMA NA BENDERA

SAKATA LA CHADEMA MBEYA MWAMBIGIJA AMWASHIA MOTO MCHUNGAJI MSIGWA ADAI HANA 'UBAVU' WA KUMSIMAMISHA
▶︎

SAKATA LA CHADEMA MBEYA MWAMBIGIJA AMWASHIA MOTO MCHUNGAJI MSIGWA ADAI HANA 'UBAVU' WA KUMSIMAMISHA

KAULI YA HOSPITAL KUHUSU MGONJWA ALIYEZUILIWA KWASABABU YA DENI LA MILIONI 5
▶︎

KAULI YA HOSPITAL KUHUSU MGONJWA ALIYEZUILIWA KWASABABU YA DENI LA MILIONI 5

BISHOP KAKOBE HUU NI UZAKAYO NDANI YA NYUMBA YA MUNGU
▶︎

BISHOP KAKOBE HUU NI UZAKAYO NDANI YA NYUMBA YA MUNGU

🔴DIRECT L'invité de #MNF: Cheikh Yérim sur la décison du CC; Sonko sur la dette; Gestion du pays
▶︎

🔴DIRECT L'invité de #MNF: Cheikh Yérim sur la décison du CC; Sonko sur la dette; Gestion du pays

WANANCHI WALIAMSHA BAADA YA MWENYEKITI KUTANGAZA KUJIUZULU KWENYE MKUTANO WA HADHARA.
▶︎

WANANCHI WALIAMSHA BAADA YA MWENYEKITI KUTANGAZA KUJIUZULU KWENYE MKUTANO WA HADHARA.

BALAA! OFISI ZA CHADEMA NYASA ZAVUNJWA
▶︎

BALAA! OFISI ZA CHADEMA NYASA ZAVUNJWA

URGENT : MARLEY VUVU DE RETOUR, MOTO EPELI. TSHISEKEDI ET KABILA NANI CHIEN ?
▶︎

URGENT : MARLEY VUVU DE RETOUR, MOTO EPELI. TSHISEKEDI ET KABILA NANI CHIEN ?

MASATU| TUBADILISHIWE COAST TUPEWE YANGA COAST TUTAMUONEA TU|NILIJUA YANGA WANATAPATA DRAW JANA😅
▶︎

MASATU| TUBADILISHIWE COAST TUPEWE YANGA COAST TUTAMUONEA TU|NILIJUA YANGA WANATAPATA DRAW JANA😅

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO
▶︎

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

MAMA ALIYEMUOKOA KELVIN ASIUWAWE AFIKA NYUMBANI KUTOA ZAWADI KWA MAMA YAKE.
▶︎

MAMA ALIYEMUOKOA KELVIN ASIUWAWE AFIKA NYUMBANI KUTOA ZAWADI KWA MAMA YAKE.

MFANYA USAFI WA BAA AMUUWA MPENZI WAKE NA KUMTUMBUKIZA KWENYE CHEMBA YA CHOO ARUSHA.
▶︎

MFANYA USAFI WA BAA AMUUWA MPENZI WAKE NA KUMTUMBUKIZA KWENYE CHEMBA YA CHOO ARUSHA.