MAGU MJINI UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI WAANZA

Magu. Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari katika Kata ya Magu mjini, umeanza rasmi leo 10-01-2022 Magu mjini na Buhumbi ni kata ambazo zilipokea fedha kwa ajili ujenzi wa shule mpya za sekondari 470 kila shule. Diwani wa Kata ya Magu mjini Mashaka Mathias ameeleza kuwa Shule hiyo inajengwa katika mtaa wa Nyalikungu 'A' na kwamba wanafunzi watakuwa nasafiri umbali mfupi sana kufika shuleni. Imetolewa na Ofisi ya Mbunge jimbo la Magu.