KISWAGA AANIKA MAFANIKIO YA CCM JIMBO LA MAGU 2020 2024
Mbunge wa Jimbo la Magu mkoani Mwanza Mhe: Boniventura Destery Kiswaga aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi mkuu ya CCM Jimbo La Magu, kwenye mkutano mkuu wa CCM Wilaya ya Magu uliofanyika 23.12.2024 chini Mwenyekiti wa Wilaya Enos Kalambo.Katika viwanja vya Mwankanda Magu mjini kuanzia saa 2:00 asubuhi. Uwasilishaji wa utekelezaji wa ilani ya uchagauzi katika Majimbo na Wilaya ni takwa la Ilani ya uchaguzi Mkuu ya CCM ya mwaka 2020-2025,kama ilivyofafanua katika Ibara ya 151. Mgeni Rasmi katika mkutano maalum alikuwa ni Mhe. Dkt.Dotto Mashaka Biteko(MB)MNEC, Naibu Waziri mkuu na Waziri wa Nishati. Mkutano huo ulihudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda, MNEC Jamal babu aliyemwakilisha Mwenyekiti wa CCM Mkoa Ndugu. Smart , Ndugu Omari Mtuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza na Wajumbe wa Secretariet ya CCM Mkoa wa Mwanza. Mkutano huo ulihudhuriwa na wabunge Mhe. Hamis Tabasamu(Sengerema), Mhe.Njalu Silanga (Itilima),Mhe.Simon Songe(Busega), Mhe.Mary Masanja(Viti Maalum (M) Mwanza) pamoja na viongozi wandamizi Wilaya ya Magu. Kwa upande wa Viongozi wa CCM walioalikwa ni Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya, Mabalozi wote, Viongozi wa Jumuiya wa Matawi, Wenyeviti wa vijiji na vitongoji, Watendaji wa Vijiji na Kata, Wazee maarufu na wastaafu, Machiefu, Viongozi wa madhebebu ya dini, Waasisi wa CCM jumla ya Watu 4000 walihudhuria mkutano maalum ambao haujawahi kutokea tangu jimbo Magu lianzishe. Kutokana na ushilikishaji wa watu wengi zaidi. Mhe. Kiswaga alieleza kuwa Jimbo la Magu katika kipindi cha 2020-2024 limepokea jumla ya shilingi bilioni 143.9 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta za Afya,Elimu,Maji,Barabara, TUNTUME HANGI -KISWAGA ATOSHIJE KAZI IENDELEE Imetolewa na. Ofisi ya Mbunge Jimbo la Magu. email: [email protected] +255 769226985

MENEJA: MWANZA UWEKEZAJI MKUBWA UNAFANYIKA NA NHC

Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots

Mbunge Kiswaga amkaaba koo JPM

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA MTEMI MILAMBO/NAPOLEON WA AFRIKA ALIYELISHWA SUMU NA MJOMBA WAKE

KISWAGA MBUNGE WA MAGU ALIVYOTOA MCHANGO WA KUPONYA UCHUMI WA TAIFA

KISWAGA TUMETEKELEZA UKOMBOZI WA ELIMU MAGU MJINI

2027: Some People Don’t Want Peter Obi To Be On Ballot — NDC National Secretary | Politcs Today

Rais Magufuli ampigia Kampeni tena Kiswaga Jimbo la Magu 2020

Révision de la Constitution en RDC : Jusqu’où ira le bras de fer entre la CENCO et Félix Tshisekedi?

KISWAGA AIBANA SERIKALI KUKALIMISHA MIRADI YA MAJI VIPORO MAGU

KISWAGA HII NDIYO KASI YA MAENDELEO YA RAIS SAMIA MAGU

Xenophobia - South Africans Are Chasing Ghosts While The Real Culprits Are Laughing | Thabo Mbeki

President, Julius Malema’s round table discussion on the Frank Dialogue

"Nikipata URAIS Huyu MWENYEKITI Wa CCM ASIPOBADILI Tabia YAKE Atafute NCHI Ya KWENDA"-Gombo

Rymanowski, Miller: UPA-dek przyjaźni?

#LIVE: MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA, MRITHI WA KINANA KUTANGAZWA LEO

KISWAGA SERIKALI IONDOE VIKWAZO VYA KIKODI KWA WAWEKEZAJI WAZAWA

Annamalai, J. Sai Deepak, Tiwari & George | India’s Constitutional Evolution | Stanford India 2025

