MAGU-Diwani anajenga Chumba Cha Darasa shule ya Msingi aliyosoma

Diwani wa Kata ya Nyigogo Wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Mhe. Simon Mpandalume ameanzisha ujenzi wa Darasa moja Katika shule ya Msingi Ilungu. Shule ambayo alipata Elimu yake ya Msingi.