DC Handeni aingilia kati kufukuzwa kazi wananchi 50 mgodi wa Magambazi
Mkuu wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga Siriel Mchembe ameingilia kati na kutoa mwezi mmoja kwa uongozi wa mgodi wa Dhahabu wa Magambazi kuwapatia stahiki zao wafanyakazi zaidi ya 50 ambao wamewafukuza ila kunyimwa barua zao ili kwenda kuchukua pesa zao kwenye mifuko wa jamii wa NSSF. Akizungumza baada ya kutembelea mgodi huo wa Magambazi akiwa na kamati ya ulinzi na usalama kuangalia jinsi uzalishaji dhahabu unavyoendelea,mkuu huyo wa wilaya amesema amepata malalamiko kuna wananchi na askari polisi wameondolewa kwenye mgodi lakini hawajalipwa stahiki zao,hivyo kuagizwa utatuzi kufanyika

▶︎
Bilioni moja, madini yapotea kiutataa mgodi wa dhahabu Mgambazi || Serikali yapata hasara

▶︎
MGODI WA MAGAMBAZI KUZALISHA KILO 25 ZA DHAHABU KWA MWEZI IFIKAPO AGOSTI 2024

▶︎
Wachimbaji madini wawili wafariki dunia Handeni baada ya kufukiwa na kifusi

▶︎
WAZIRI MAVUNDE ATOA SIKU 30 MAGAMBA

▶︎
HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI KUGAWA ZAIDI YA VIWANJA 4000 KWA WANANCHI

▶︎
MTAFARUKU.. Mwekezaji, Wananchi waingia kwenye mgogoro | Mgodi wa dhahabu Handeni

▶︎
Mali za Mgodi wa Buzwagi kupigwa mnada

▶︎
WIZARA YA MADINI YAINGILIA KATI SUALA LA MGODI WA MAGAMBAZI HANDENI

▶︎
WAZIRI MAVUNDE ATOA SIKU 30 MGODI WA MAGAMBAZI KUTHIBITISHA UWEZO WA KUENDELEZA MGODI HUO

▶︎
VIDEO: DC JOKATE ATOA TAHADHARI HII KOROGWE "WANANCHI HAWA WAMETESEKA, HAKUNA HAKI BILA WAJIBU".

▶︎
Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

▶︎
WAZIRI AKUTA MADUDU MGODI WA MAGAMBAZI

▶︎
Tangu Tanzania ipate uhuru hili halijawahi kutokea kwenye Dhahabu - Uchumi Zone

▶︎
ZIARA YA KIKAZI MKOANI UFUNGUZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA HANDENI-MKATA

▶︎
CHANZO CHA MOTO KOROGWE GIRLS HIKI HAPA”

▶︎
Naibu Waziri madini afungua mgodi uliofungwa Handeni

▶︎
AMIRI (52) AUAWA NA WATU WASIOJULIKANA TANGA

▶︎
WACHIMBAJI MADINI HANDENI WAMUOMBA MGOMBEA KUSAIDIA SUALA NA MGODI WA MAGAMBAZI.

▶︎
DC Handeni awakabidhi Takukuru ,TFS kuwakagua wenyeviti wa vijiji

▶︎
