Tangu Tanzania ipate uhuru hili halijawahi kutokea kwenye Dhahabu - Uchumi Zone

NAIBU WAZIRI wa Madini amewaagiza Maafisa Madini wote hapa nchini kutambua na kuisajili Mialo yote ya kuoshea Dhahabu kwa njia ya Mekyuri ilikudhibiti upotevu wa Madini hayo, Huku akiagiza kuwakamata wote watakaokiuka agizo hilo.