HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI KUGAWA ZAIDI YA VIWANJA 4000 KWA WANANCHI
Halmashauri ya wilaya ya Handeni mkoani Tanga imetangaza kuuza viwanja zaidi ya 4000 kwa wananchi mbalimbali wa eneo hilo hususani Mkata,kwa lengo la kuboresha madhari ya mji huo ambao umejengwa kiholela na kusababisha baadhi ya huduma kukosekana. Hayo yamebainishwa na mkurugenzi halmashauri hiyo William Makufwe kwenye ziara yake ya kukagua eneo ya mji mpya wa Mkata,uliopimwa kisasa kwa kuwekewa miundombinu yote muhimu na kusema kuwa kwasasa wapo tayari kuanza kugawa viwanja hivyo kwa wananchi kwa bei nafuu.

▶︎
Wafanyabiashara wafunga maduka wakimshtumu meneja TRA Handeni

▶︎
BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

▶︎
Wananchi Handeni wamkataa mwenyekiti wa kijiji, DC amsimamisha

▶︎
WAZIRI AWESO AVUNJA KAMATI YA MRADI WA MAJI KWAMSISI, WASIMAMIZI WAKAMATWA KWA UBADHIRIFU

▶︎
MŨTHENYA WA MBANJETI NA MAINA KAMANDA

▶︎
Wakulima wa zao la mihogo Handeni Tanga Wamepata Matokeo ChanyA+ baada ya kupata uhakika wa soko.

▶︎
WANANCHI HANDENI KATA YA KABUKU WAMJIA JUU DIWANI WAMTAKA AJIUZURU

▶︎
WANANCHI wa MKATA TANGA WATABASAMU KWA MAJI...

▶︎
GABURIRA ABANTU BENSHI UKORESHEJE AMAGI MAKE // GUTEKA UMURETI UBYIBUSHYE W'AMAGI MAKE N'IBIRAYI

▶︎
Bilioni moja, madini yapotea kiutataa mgodi wa dhahabu Mgambazi || Serikali yapata hasara

▶︎
Wananchi Handeni wamlilia Waziri Mkuu Majaliwa kufuatia makao makuu ya wilaya kubadilishwa eneo

▶︎
You Have a PROBLEM Matiangi Slams Ruto – No Reason to Be Arrogant|Plug Tv Kenya

▶︎
DC HANDENI AMALIZA VUTA NIKUVUTE YA WACHIMBAJI WADOGO NA KAMPUNI YA SUWA GOLD MINING

▶︎
DC Msando awawakia polisi Handeni matukio ya mauaji, 'sitaki kuona mtu ofisini'

▶︎
WAFANYABIASHARA HANDENI WALALAMIKIA BEI YA VIBANDA

▶︎
#TBCLIVE: ZIARA YA MAKAMU WA RAIS MKATA, TANGA

▶︎
How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

▶︎
MAMIA YA BODABODA WAANDAMANA WAKIPINGWA UKAMATWAJI HOLELA

▶︎
BREAKING: CS Aden Duale set to be arrested any time from now

▶︎
