MWANGA KIGOMA: Day One: Kygc Choir wakihudumu semina ya 'UAMSHO' - Julai 16 2019

Ni siku sita za wana wa Kigoma mjini kubarikiwa na huduma ya Bishop Sixberth Kuzenza mjini Kigoma katika kanisa la FPCT Mwanga kanisa lililokuwa likichungwa na makamu Askofu Jimbo la Kigoma Wilson Gwimo 'RIP' aliefariki 2018, video hapa ni kwaya ya vijana 'KYGC' wakihudumu