MAJENGO KIGOMA: siku ya pili semina ya 'UAMSHO' pale FPCT Majengo Kigoma - Febr 28 2019

Ni siku ya pili Pastor Six akihudumu katika kanisa la FPCT Majengo kwa Pastor Zacharia Andrea kwa semina ya 'UAMSHO' karibu ushiriki baraka hizi.