MWANGA KIGOMA: MTC Choir wakihudumu siku ya tano semina ya 'UAMSHO' - Julai 20 2019

Ni katika kanisa la FPCT Mwanga pale Kigoma mjini kanisa lililokuwa likichungwa na Mchungaji kiongozi Wilson Gwimo 'RIP' ambalo kwa sasa linachungwa na msaidizi wake Pastor Jeremiah Onesmo