Sikiliza VIMBWANGA Vifupi vya Kamanda Lissu Tanganyika na Zanziba
Sikiliza VIMBWANGA Vifupi vya Kamanda Lissu Tanganyika na Zanzibar ilivyochakachuliwa...!!! Dodoma/Dar. Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema Tanganyika ilikufa kwa amri iliyotolewa na Mwalimu Julius Nyerere na siyo kwa makubaliano katika hati ya Muungano. Huku akinukuu maneno yaliyopo katika vitabu vilivyoandikwa na Profesa Issa Shivji na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa, Lissu alisema Jamhuri ya Muungano ilizaliwa bila uhalali wa kisheria kwa kuwa hayakuwapo makubaliano ya kila upande wa Muungano. Alisema Aprili 26, 1964 (Siku ya Muungano), Mwalimu Nyerere alitoa amri ya masharti ya mpito ya mwaka 1964 ambayo pamoja na mambo mengine iliifuta Tanganyika. Akichambua kitabu cha '50 Years of Independence: A Concise Political History of Tanzania' (Miaka 50 ya Uhuru: Historia fupi ya Tanzania), kilichoandikwa na Msekwa na kuchapishwa Januari mwaka huu, Lissu alisema: "Msekwa anasema katika kitabu hicho kuwa amri hiyo ilichapishwa katika Gazeti la Serikali la siku hiyo. Kwanza, iliwabadilisha waliokuwa watumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika kuwa watumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano." Soma Zaidi: http://swahilivilla.blogspot.com/2014...

ERICK KABENDERA AFUNGUKA MAZITO KWA MARA YA KWANZA 'NILIIKOSEA SERIKALI NIKATEKWA/ WANGENIUA'

"Nilifuatiliwa Na Magari Mawili Mpaka Nyumbani | Walinishambulia Na SMG"

Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'

ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA JOSEPH WARIOBA AMEONGEA NA DAKIKA 45

Aliyosema Tundu Lissu Bungeni leo

Attitude (Mtazamo) wa Watanganyika dhidi ya Zanzibar ni wa kikoloni - Tundu Lissu

Hotuba Rasmi ya kambi ya upinzani, Katiba na Sheria 2013-2014, Tundu Lissu.

Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

TUNDU LISU AFICHUA SIRI NZITO KUHUSU MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, NYERERE ALITUUZA

LOWASSA AJIUZULU UWAZIRI MKUU

GENERAL BUDGET 2017/18: Tundu Lissu hits out at JK

BUNGE - JULY.03.2015| TBC

LISSU ASEMA KATIBA INARUHUSU MUUNGANO KUVUNJWA

🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU

FULL VIDEO- TUNDU LISU AMUITA RAIS MAGUFULI DIKTETA UCHWALA

Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka

HOTUBA MAARUFU ZAIDI YA MCH. PETER MSIGWA ILIYOTIKISA AFRIKA MASHARIKI ENZI AKIWA CHADEMA

KIMEUMANAAAAAAA!!!!!..Lissu ALETA Fujo TENAAAA....!!!

BUNGE - JULY.03.2015| TBC

