Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa chama hicho, amekinukisha bungeni baada ya kusimama na kupinga kwa nguvu zote ripoti za kamati mbili za madini zilizoundwa na mheshimiwa rais huku akienda mbali zaidi na kusema kuwa zimejaa uchafu. Lissu amefunguka kwamba uamuzi wa bunge kumpongeza mheshimiwa rais, si wa wabunge wote bali ni wa wabunge wa CCM kumpongeza mwenyekiti wao. Akaendelea kwamba wajibu wa bunge ni kuishauri serikali na si kuisifia na kuiimbia mapambio, na kwamba ripoti ya kamati hizo mbili hazipaswi kusifiwa kwa sababu kabla yake, rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete waliunda kamati ambazo zilikuwa na mapendekezo bora zaidi. Maneno makali ya Tundu Lissu, yaliamsha hasira kwa wabunge wa CCM ambao mara kwa mara walikuwa wakimzoea, hali iliyomfanya mwenyekiti wa bunge, Mhe Zungu awe na kazi ya ziada ya kutuliza hali ya hewa bungeni ambayo ilishachafuka. Lissu amesema kwamba mpaka sasa, sheria zote zilizolifikisha taifa hapa lilipo, kuhusu madini, hakuna hata moja iliyorekebishwa ambapo kiwango kikubwa cha madini kinasafirishwa moja kwa moja kutoka kwenye migodi, jambo alilolifananisha na kuzuia mapanki wakati minofu inasafirishwa. Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublishers TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpublishers

Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'

Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka

Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017

BUNGE - JULY.03.2015| TBC

LISSU AMBANA WAKILI WA SERIKALI - "MNACHUNGUZA VITU GANI KAMA SIO NJAMA NA UZEMBE?"

NI NDE WATEKEREZAGA KO IRAN YAMARA IKI GIHE CYOSE MU NTAMBARA? // KNC NA MUTABARUKA

Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

AHMED ALLY AJIBU TETESI ZA LIBASSE OURA KUUZWA SIMBA

“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche

"Nilifuatiliwa Na Magari Mawili Mpaka Nyumbani | Walinishambulia Na SMG"

Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano yasiyokuwepo"

Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa

"Tukiwasema mnatupeleka Polisi lakini Rais akitukashifu…”-John Heche

Gachagua: I'LL SUPPORT A SIFUNA TICKET, IM MORE THAN WILLING TO MENTOR SIFUNA & BABU OWINO

Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo

LISSU ANATOKA!, KILICHOKWAMISHA NI HIKI, MAWAKILI KENYA WAGOMA

FULL VIDEO- TUNDU LISU AMUITA RAIS MAGUFULI DIKTETA UCHWALA

Aprili 14, 2014 Mhe. Tundu Lissu aliwasilisha maoni kuhusu Muungano katika Bunge Maalum la Katiba.

Tundu Lissu Aliamsha Dude Ndege ya Bombadier Kukamatwa Canada

