"Nilifuatiliwa Na Magari Mawili Mpaka Nyumbani | Walinishambulia Na SMG"
"Septemba 7, nimeondoka nyumbani nilikuwa Dodoma, kuna eneo linaitwa area D, kuna maghorofa mengi ndio wanakaa viongozi wa Serikali na yanalindwa muda wote nimeishi pale toka 2010. Nilifika Bungeni tukajadili na nilikuwa mtu wa mwisho kuzungumza katika ile session ya asubuhi.Nikatoka nje, nikampigia dereva wangu simu aje anichukue twende nyumbani tukale chakula cha mchana. Mimi siku zote nakula nyumbani. Ukiwa bungeni miaka ile njia rahisi ilikuwa inapita katikati ya uwanja wa ndege sasa ilikuwa njia imefungwa sababu palikuwa panafanyiwa matengenezo Kwahiyo ili uende area D inabidi uende mjini hivyo tukaelekea mjini. Tumepita round about ya Singida, tukapita round about ya barabara ya Arusha ambayo inapakana na uwanja wa ndege tulivyopita dereva akaniambia kuna magari mawili yanatufata nyuma kwenye akili yangu nikamuulizaDereva hawa polisi wanatufuatia nini? Maana mimi huwa nasumbuliwa na polisi. Tukafika area C tuko nao gari mbili land cruiser nyeupe na Mitsubishi tukaenda mpaka area D tumekaribia getini kama kuna mtu anafahamu iliko Club84 tulipopita pale Land cruiser nyeupe ikapaki pembeni Mitsubishi ikaja tukaingia nayo getini. Lile geti huwa linafungwa muda wote na huwa kuna walinzi wawili au watatu wanasilaha muda wote siku hii geti liko wazi na hakuna mlinzi tukapita tukaenda block E ninapoishi. Tukaingia parking bahati nzuri siku hiyo magari yalikuwa mengi na nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao. Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Tundu Lissu #LiveOnClouds360

LIVE: Mahojiano na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu katika Clouds 360

LISSU ALIVYOLIONA GARI LAKE ALILOPIGWA NALO RISASI "Imenipa shida risasi 30, Polisi hawana hilo wazo

Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'

'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'

LISSU AKABIDHIWA GARI YAKE ILIYOPIGWA RISASI,ALAMA ZA RISASI ADAI "MILANGO NITAIPELEKA MAKUMBUSHO"

MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE

TUNDU LISSU AMLIPUA MBOWE VIBAYA - "NI MUONGO SANA - ALITAKA UENYEKITI na URAIS" - VITA ni NZITO...

#LIVE: SATIVA ANAANIKA MAZITO MUDA HUU, KUTEKWA KWAKE MPAKA KUTUPWA KATIKATI YA WANYAMA WAKALI

MUSUKUMA ASIMULIA HISTORIA YAKE NA MAGUFULI! KUTOKA KWENYE UDEREVA TAXI HADI KUINGIA KWENYE SIASA

HATIMAYE LISSU AWATAJA WATESI WAKE/ NILIWAONA WAKIPIGA RISASI/ SIO MAGUFULI/ ILIPANGWA MAKUSUDI

WANANCHI KUKOSA UZALENDO, CHANZO NI VIONGOZI WASIOWAJIBIKA? EDO, OSCAR WASHUSHA NONDO

Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017

'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW

#Live: LISSU APIGWA MASWALI MAZITO- "MBOWE KAKUDAMPO NDIYO MAANA UNAMCHALENJI-HUKUONA HADI UONE LEO"

Tundu Lissu: Watu hawaji kwenye maandamano kwasababu hawakiamini chama tena

PART 1: TUNDU LISU AMVAA DKT. SLAA/"NI MJINGA"/ALIYENIPIGA RISASI SIO MAGUFULI/ DEREVA WANGU...

LISSU ANAMACHUNGU NA MAKONDA ASIMULIA "HUYU NI MHALIFU ALIHUSIKA KUPIGWA KWANGU ANAPASWA KUWA JELA"

SPIKA NDUGAI AZUNGUMZIA LISSU KUPIGWA RISASI

LISSU ATEMA NYONGO | 'SITOKUBALI UHUNI, NA SITAHAMA CHADEMA LABDA NIFE AU NIFUKUZWE'

