WAJANE WAHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI
Halmashauri ya Jiji la Tanga, kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii, imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Wajane Duniani kwa kufanya maandamano makubwa yaliyolenga kuongeza uelewa wa jamii na kutetea haki za wanawake waliofiwa na wenza wao. Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga ambae ndio Mgeni rasmi katika tukio hilo, amewataka wanawake hao walioondokewa na wenza wao kuchangamkia fursa ya upendeleo wa Serikali katika kuwapa kipaumbele wanawake hususani katika asilimia4 zitokanazo mkopo wa asilimia10 unaotewa na Halmashauri zote Nchini Aidha kwa upande wake Bertha Damas ambae ni Afisa Maendeleo ya Jamii Jiji la Tanga amewataka wajane kusimama imara, kujituma, na kuachana kabisa na mtazamo hasi unaowaaminisha kuwa kuondokewa na mume ndio mwisho wa mafanikio na ustawi wa maisha yao. Hata hivyo Bertha amesema changamoto kubwa inayowakabili wajane wengi sio tu changamoto za kiuchumi bali ni mtizamo wa kisaikolojia unaotokana na mifumo ya kijamii inayomkariri mwanamke kama mtu tegemezi wakati wote.

KONGAMANO LA VIJANA JIJI LA TANGA

HALMASHAURI YAKARABATI SOKO LA KIHISTORIA MWANZANGE

UKARABATI MAABARA WAWAVUTIA WANASAYANSI NGUVUMALI.

MHE. RAHMA KASSIM ALI AKAGUA MAENEO YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA LARIS

MKESHA WA MWENGE WA UHURU

Je, polisi na jeshi watazuia maandamano ya 7/7 Tanzania? Katika Dira ya Dunia TV.

I AM MARWA on Building a Multi Million Estate in the Village, Heartbreak & What It Took to Get Here

MIKANJUNI SEKONDARI YAKAMILISHA UJENZI WA MAABARA YA FIZIKIA

KITENGO CHA LISHE HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

#MAKALA: MAKAZI SOLUTIONS LTD YATANGAZA FURSA KUBWA YA VIWANJA KWENYE LANGO KUU LA UCHUMI KIPUMBWI

How Rwandan Refugees SECRETLY Built a Rebel Movement in Uganda & Kenya | Tharcisse Karugarama

MBIO ZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA TANGA 2026

MABORESHO SHULE YA MAJANI MAPANA KICHOCHEO KWA WATOTO WENYE ULEMAVU KUPENDA SHULE

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA

WATAALAM WA AFYA WILAYA YA KILINDI WAPATIWA MAFUNZO YA AFYA MAONI

ZIARA YA BODI TRC YAIBUA MAMBO TANGA.

HAYA HAPA MAAJABU YA MAPANGO YA AMBONI TANGA

KWA MARA YA KWANZA MELI YENYE MAGARI 322 YATIA NANGA BANDARI YA TANGA.

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

