Wakimbizi wachache ndio wanaopata nafasi ya kujiendeleza kielimu

Shirika la umoja wa mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR limesema kuwa duninai kote ni mkimbizi mmoja kati ya wanne wanaopata nafasi ya kuhudhuria masomo ya sekondari. Originally published at - https://www.voaswahili.com/a/4868383....