Ongezeko la wakimbizi Tanzania
Nchini Tanzania kumeshuhudiwa ongezeko la wakimbizi zaidi ya 8,000 tokea mwezi Machi mwaka huu wakiomba hifadhi kutoka DRC. Wengi wa wakimbizi hao ambao ni wanawake na watoto wanatajwa kuondoka kutokana na vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC. Shirika la wakimbizi duniani UNHCR linasema jitihada za makusudi zinahitajika ili kurekebisha hali ya mambo Mashariki mwa DRC. Mwandishi wa BBC David Nkya ameandaa taarifa ifuatayo kutoka Kigoma Magharibi mwa Tanzania. #bbcswahili #tanzania #kigoma

▶︎
TAZAMA WAREMBO WAKIMBIZI KUTOKA RWANDA NA BURUNDI KWENYE FASHION SIKUKUU YA WAKIMBIZI DUNIANI

▶︎
WARUNDI "HALI NGUMU NDIO INATUFANYA TUTOKE BURUNDI", UHAMIAJI TANZANIA WATOA TAMKO KALI

▶︎
UKWELI MAISHA NJE YA TANZANIA, ULIYOFICHWA YAFICHUKA, JE 'KUTOBOA' INAWEZEKANA?

▶︎
TANZANIA YASITISHA KUTOA URAIA KWA WAKIMBIZI, "TUNATAKA KWENDA MAREKANI TU"

▶︎
WANANCHI WANAOISHI KARIBU NA KAMBI ZA WAKIMBIZI KIGOMA WALALAMIKIA CHANGAMOTO ZA KIUSALAMA

▶︎
BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

▶︎
ZIWA TANGANYIKA NI LA KIPEKEE DUNIANI KOTE

▶︎
Zijue aina za Madini yanayopatikana Tanzania

▶︎
Wakimbizi kutoka DR Congo wazidi kuingia nchini

▶︎
TANZANIA YAWEKA HISTORIA: WAKIMBIZI ZAIDI YA LAKI 2 WAPEWA URAIA

▶︎
Wakimbizi Warundi mbioni kufutiwa hadhi ya ukimbizi wakigoma kurejea makwao

▶︎
Trump asema Iran imechelewa kufikia makubaliano, na italipia gharama. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
Jenerali Mkunda: Kuna Wakimbizi Wameteuliwa Serikalini Kwenye Nafasi za Maamuzi

▶︎
Wakimbizi nchini Tanzania waomba kupewa kipaumbele

▶︎
DRC || Ufafanuzi hali ya wakimbizi wa DRC kuingia Tanzania kwa maelfu

▶︎
BREAKING: CS Aden Duale set to be arrested any time from now

▶︎
WATANZANIA walioufungwa Ethiopia wafunguka wakiwa ndani ya JELA, ‘Hali ni Mbaya, tunasubiri kufa tu’

▶︎
Wakimbizi kutoka DRC wateseka nchini Burundi, katika Dira ya Dunia TV

▶︎
SAKATA LA WAKIMBIZI WA BURUNDI LACHUKUA SURA MPYA, UMOJA WA MATAIFA WAANDIKIWA BARUA

▶︎
