Mkuu wa UNHCR akihitimisha ziara yake Tanzania, atoa wito kwa jamii ya kimataifa

Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR amehitimisha ziara yake nchini Tanzania, alikotembelea kambi ya wakimbizi, ambako amepongeza Tanzania kwa ukarimu wake na kutolea wito jamii ya kimataifa kusaidia nchi hiyo inayohifadhi wakimbizi takriban 350,000.