VIJANA DAY TABATA - VIBE KAMA LOTE.
VIJANA DAY TABATA - VIBE KAMA LOTE. Kristo Mfalme, TABATA DSM Utume wa Vijana Wafanyakazi Wakatoliki (VIWAWA) Parokia ya Kristo Mfalme Tabata, Jimbo Kuu la Dar es Salaam Jumapili January 25, 2026 walifanya Siku ya Vijana (Vijana Day) kwa kushiriki Misa Takatifu ya Shukrani kwa Mungu kwa Mema na Neema Mungu alizo wajalia kwa mwaka jana 2025 na baadae jioni/usiku wakafanya tafrija kabambe yenye hadhi ya Kristo Mfalme. Mgeni Rasmi katika Tafrija hiyo ni Bi Honester Nduguru (CPA-TZ) ambae ni Mwenyekiti wa Kamati ya Tegemeza Jimbo, Parokia ya Kristo Mfalme Tabata. Pia aliongozana na Paroko Msaidizi Fr Christopher Ken'yaa, ambae ni Mlezi wa VIWAWA Parokia pamoja na Katibu wa Halmashauri ya Walei Parokia Bi Theresia Soka.

▶︎
UWAKA DSM WAACHA ALAMA PAROKIA YA KEKO

▶︎
SHEREHE YA UWAKA NA WAWATA PAROKIA YA KRISTO MFALME TABATA DSM

▶︎
BISHOP RUWA'ICHI IMPRESSED BY ANSWERS FROM CONFIRMATION CANDIDATES AT MAVURUNZA DSM

▶︎
Rosemary Weds John - Official Wedding Video #lovewins

▶︎
The Billionaire’s Maid | Full Movie | Emotional African Drama

▶︎
MAONESHO YA VYAMA VYA KITUME PAROKIA YA MT.CLARA / UJUE UMUHIMU WA VYAMA NDANI NA NJE YA KANISA

▶︎
"TAFSIRI YA NDOTO YA NG'OMBE KIBIBLIA|KKKT KARIAKOO|Mch Joash Aila.

▶︎
GOWASO WAMCHAGUA MAULID VYAMANA KUWA MWENYEKITI WAO

▶︎
DC ILALA AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MBUNGE WA UKONGA MHE BAKARI SHINGO.

▶︎
WHEN BISHOP GWAJIMA WENT TO TEST HIS STRENGTH AGAINST A LOCAL HEALER

▶︎
MAADHIMISHO YA MWILI NA DAMU YA KRISTU (EKARISTI TAKATIFU) 2022 Parokia Ya Njombe.

▶︎
LEARN HOW TO SEE JESUS RIGHTLY

▶︎
SHIRIKA LA MT ANNA WAKUSANYIKA PAROKIA YA ULONGONI

▶︎
IBADA YA JUMAPILI 14 JUNE 2026

▶︎
RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy

▶︎
ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU SHEREHE YA MWILI NA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO

▶︎
ASKOFU STEPHANO MUSOMBA-OSA AWATAKA VIJANA WAKATOLIKI NCHINI KUJITUNZA.

▶︎
HATUPOTEI | REV. DR. ELIONA KIMARO

▶︎
SHUHUDA : KUTOKA KUWA TAJIRI HADI MASIKINI KWASABABU YA KWENDA KWA WAGANGA

▶︎
