ASKOFU STEPHANO MUSOMBA-OSA AWATAKA VIJANA WAKATOLIKI NCHINI KUJITUNZA.
ASKOFU STEPHANO MUSOMBA-OSA AWATAKA VIJANA WAKATOLIKI NCHINI KUJITUNZA. Bagamoyo, TANZANIA Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo Mhashamu Stephano Lameck Musomba-OSA amewahusia Vijana Wakatoliki Nchini yaani VIWAWA kujitunza kiakili, kiroho na kimwili ili kudumisha maadili na baadae kujenga familia zilizo bora. Askofu Musomba alieleza hayo leo December 27, 2025 kwenye Nasaha zake wakati wa kuhitimisha Adhimisho la Misa Takatifu ya Ufukweni iliyofanyika Bagamoyo kwa Nia ya Kumshukuru Mungu Mungu kwa kuwalinda VIWAWA wote wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo pamoja na wale wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Adhimisho hilo lililohudhuriwa pia na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Mhashamu Hendry Mchamungu na vijana zaidi ya 14,300 kutoka parokia za Jimbo Katoliki la Bagamoyo pamoja na Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

UZURI WA HISTORIA YA MJI WA BAGAMOYO TANZANIA

VIJANA DAY TABATA - VIBE KAMA LOTE.

#LIVE: Adhimisho la misa Takatifu

MAPOKEZI YA MAKAMU ASKOFU MKUU KWENYE MAHAFALI YA TATU YA KIDATO CHA NNE BEROYA MISSION SEC.SCHOOL

MAAJABU YA KAOLE-BAGAMOYO

MAONESHO YA VYAMA VYA KITUME PAROKIA YA MT.CLARA / UJUE UMUHIMU WA VYAMA NDANI NA NJE YA KANISA

Afghanistan most cheap street food | Kabuli pulao | biryani | Roasted chicken | street food

GOWASO WAMCHAGUA MAULID VYAMANA KUWA MWENYEKITI WAO

The Billionaire’s Maid | Full Movie | Emotional African Drama

Best of Funny fails (Ep91) 🤣 Try not to laugh | Best funny videos ever 😅🤣

UWAKA DSM WAACHA ALAMA PAROKIA YA KEKO

MWL NYERERE NA HARAKATI ZA UHURU BAGAMOYO.

Veille De Nuit 28 Juillet 2023 - EGLISE DE DIEU SANCTIFIEE EN HAITI - Pasteur Luxoner BIGOT

🔴LIVE:ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YA DOMINIKA YA PILI YA KWARESIMA TAR 16.03.2025

Moïse Matuta - Live Concert Soirée de Gala Lubumbashi-intégralité- pourquoi pas biso - Natiela M

MZEE MWINYI KATIKA SHEREHE ZA MAHAFALI YA KIDATO CHA 6 AHMES 2022

She Left Europe for an African Safari Guide — What Happened Next Shocked Her Family

Fear No One - Bishop Barron's Sunday Sermon

Messe présidée par le pape #LéonXIV en la basilique Saint-Augustin d'Annaba #PapeenAlgérie

