Baada ya UDOM kusitisha udahili kwa kozi za ualimu, wadau wapaza sauti
Baadhi ya wadau wa elimu nchini wameeleza wasiwasi wao juu ya uamuzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kusitisha udahili wa wanafunzi katika takribani kozi 11 za ualimu, wakisema hatua hiyo inaweza kuleta athari za upungufu wa walimu nchini katika miaka ijayo. Maoni hayo yametolewa kufuatia tangazo lililotolewa na UDOM kupitia tovuti yake rasmi siku ya Ijumaa, likieleza kuwa kozi hizo hazitapokea wanafunzi katika mwaka wa masomo 2025/2026. Wadau hao wanashauri mamlaka husika kufuatilia kwa karibu athari za uamuzi huo kwa mustakabali wa sekta ya elimu, hususan katika kipindi ambacho nchi inahitaji walimu wenye ujuzi wa kutosha ili kuinua viwango vya elimu. #azamnewsupdates Mhariri| @official_jennifersumi

▶︎
MAMBO MUHIMU YA YANAYOZINGATIWA KATIKA MCHAKATO WA AJIRA

▶︎
Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

▶︎
FILBERT AKIRI KUMCHOMA MOTO REBEKA na FELISTER KISA KUACHWA - KAMANDA DODOMA AFAFANUA...

▶︎
MUONEKANO WA MJI WA KITELELA MSALATO JIJINI DODOMA UTAKAPOKAMILIKA

▶︎
UDOM VIEW

▶︎
UDOM YAFUTA KOZI TISA ZA UALIMU, WADAU WATOA MAONI ATHARI HASI/ CHANYA

▶︎
WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

▶︎
UDOM Podcast, Episode 19 Mwenendo Mchakato wa Udahili UDOM 2025/26

▶︎
AWAMU YA NYONGEZA YA UDAHILI WA SHAHADA YA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026

▶︎
VIONGOZI WA TAASISI ZA UMMA KATAVI WAKUMBUSHWA WAJIBU WA KULINDA MALI ZA SERIKALI.

▶︎
WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA WILAYA YA CHAMWINO MKOANI DODOMA

▶︎
Wanajeshi feki walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma

▶︎
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

▶︎
Kenya Literature Bureau Strategic Plan 2025-2030 Launch

▶︎
TAARIFA YA HABARI WIKIENDI - AZAM TV - 27/6/2026

▶︎
MJI WA SERIKALI MTUMBA, MAJALIWA ATOA MUELEKEO

▶︎
WATANZANIA WATARAJIE KASI ZAIDI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA: MKURUGENZI MKUU TAKUKURU

▶︎
Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

▶︎
🔴 LIVE: MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI UNAOFANYIKA UKUMBI WA SERENGETI

▶︎
