"WAHITIMU WALIOSOMA NJE RUDINI MJENGE ZANZIBAR, SI KUKIMBILIA MISHAHARA MIKUBWA"

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka wanafunzi waliorejea nchini baada ya kuhitimu masomo yao nje ya nchi kutumia elimu na ujuzi walioupata kuichangia Zanzibar badala ya kukimbilia ajira zenye mishahara mikubwa katika taasisi binafsi au nje ya nchi. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Khamis Abdulla Said, wakati wa mapokezi ya wahitimu watatu waliorejea kutoka Ras Al Khaimah, Falme za Kiarabu (UAE) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume. Baada ya zaidi ya miaka mitatu ya masomo, wahitimu hao wa Shahada ya Uhandisi wa Usindikaji wa Kemikali (Chemical Engineering) wamerejea nchini wakiwa na dhamira ya kutumia taaluma na maarifa waliyojifunza kuchangia maendeleo ya Zanzibar na kuongeza thamani katika sekta mbalimbali za uzalishaji na viwanda. Wahitimu hao ni Zainab Masoud Hussein, Marco Andrea Masabuda na Saleh Makungu Juma, ambao wamehimizwa kuwa mfano kwa vijana wengine kwa kutumia elimu yao kuleta ubunifu, kuanzisha miradi ya maendeleo na kusaidia kuijenga Zanzibar yenye uchumi imara na ushindani. #Zanzibar #Elimu #Wahitimu #ChemicalEngineering #UAE #Maendeleo #Ajira #AsamOnlineTV #SisiNiJamii

SERIKALI YATANGAZA NAULI MPYA ZANZIBAR | DALADALA SASA SHILINGI 700
▶︎

SERIKALI YATANGAZA NAULI MPYA ZANZIBAR | DALADALA SASA SHILINGI 700

MAWAZIRI WA SMZ WASHUKA MASHAMBANI, WAWEKA MIKAKATI YA MAPINDUZI YA KILIMO
▶︎

MAWAZIRI WA SMZ WASHUKA MASHAMBANI, WAWEKA MIKAKATI YA MAPINDUZI YA KILIMO

RAIS DKT. MWINYI AZINDUA MABASI YA UMEME, AITAKA ZSSF IKAMILISHE VITUO VYA KISASA HARAKA
▶︎

RAIS DKT. MWINYI AZINDUA MABASI YA UMEME, AITAKA ZSSF IKAMILISHE VITUO VYA KISASA HARAKA

RASMI ZNZ KUANZA UJENZI BARABARA ZA JIJI LA ZNZ MALINDI, MNAZI MMOJA PATAKUA HIVI, BIL 50.8 KUTUMIKA
▶︎

RASMI ZNZ KUANZA UJENZI BARABARA ZA JIJI LA ZNZ MALINDI, MNAZI MMOJA PATAKUA HIVI, BIL 50.8 KUTUMIKA

ASMA MWINYI AENDESHA AMBULANCE KUMPELEKA KIJANA JUMA HOSPOTALI YA LUMUMBA
▶︎

ASMA MWINYI AENDESHA AMBULANCE KUMPELEKA KIJANA JUMA HOSPOTALI YA LUMUMBA

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.
▶︎

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

PONDEZA ATEKELEZA AHADI, JUMA ASAFIRISHWA MUHIMBILI KWA MATIBABU MAALUMU
▶︎

PONDEZA ATEKELEZA AHADI, JUMA ASAFIRISHWA MUHIMBILI KWA MATIBABU MAALUMU

UTAPENDA" RAIS MWINYI AMTEMBELEA KIJANA WA MAKWACHU INDIA
▶︎

UTAPENDA" RAIS MWINYI AMTEMBELEA KIJANA WA MAKWACHU INDIA

RASMI: NAULI ZA DALADALA ZAPANDA KUTOKA SH. 500 HADI 700 KUANZIA AGOSTI 1
▶︎

RASMI: NAULI ZA DALADALA ZAPANDA KUTOKA SH. 500 HADI 700 KUANZIA AGOSTI 1

Waziri Khalid aongoza zoezi la ushushaji Magari Maruhubi. #foryou #views #ikuluzanzibar #zanzibar
▶︎

Waziri Khalid aongoza zoezi la ushushaji Magari Maruhubi. #foryou #views #ikuluzanzibar #zanzibar

MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI
▶︎

MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI

DKT. SAADA : ZANZIBAR HAIWEZI KUBEBA MATIBABU YA WATU MILIONI 60, KAULI YANGU IMEPOKELEWA KISIASA
▶︎

DKT. SAADA : ZANZIBAR HAIWEZI KUBEBA MATIBABU YA WATU MILIONI 60, KAULI YANGU IMEPOKELEWA KISIASA

Heche: Hakuna Mazungumzo Yatakayofanyika Bila Mwenyekiti Kuwa Nje
▶︎

Heche: Hakuna Mazungumzo Yatakayofanyika Bila Mwenyekiti Kuwa Nje

SMZ YAZINDUA PROGRAMU YA MAKUZI YA MTOTO, YAFUNGUA KITUO CHA KULELEA WATOTO SOKO LA MWANAKWEREKWE
▶︎

SMZ YAZINDUA PROGRAMU YA MAKUZI YA MTOTO, YAFUNGUA KITUO CHA KULELEA WATOTO SOKO LA MWANAKWEREKWE

EDO AMCHAMBUA KOCHA wa YANGA, ALICHEZA LIGI KUU ENGLAND
▶︎

EDO AMCHAMBUA KOCHA wa YANGA, ALICHEZA LIGI KUU ENGLAND

The Unemployment Crisis in Zanzibar: Are Youth Lazy or Uneducated? | DIRA ZANZIBAR
▶︎

The Unemployment Crisis in Zanzibar: Are Youth Lazy or Uneducated? | DIRA ZANZIBAR

PROGRESS IN THE CONSTRUCTION OF PEMBA INTERNATIONAL AIRPORT.
▶︎

PROGRESS IN THE CONSTRUCTION OF PEMBA INTERNATIONAL AIRPORT.

RAIS MWINYI KUZINDUA KITUO CHA KWANZA CHA MAKUZI NA MALEZI YA AWALI YA MTOTO - KWEREKWE SOKONI
▶︎

RAIS MWINYI KUZINDUA KITUO CHA KWANZA CHA MAKUZI NA MALEZI YA AWALI YA MTOTO - KWEREKWE SOKONI

MAFUTA YASHUKA BEI ZANZIBAR, BEI MPYA ZATANGAZWA
▶︎

MAFUTA YASHUKA BEI ZANZIBAR, BEI MPYA ZATANGAZWA

MRADI WA NYUMBA ZA MAKAAZI NA BIASHARA MOMBASA KWA MCHINA NI NEEMA TUPU
▶︎

MRADI WA NYUMBA ZA MAKAAZI NA BIASHARA MOMBASA KWA MCHINA NI NEEMA TUPU