RASMI: NAULI ZA DALADALA ZAPANDA KUTOKA SH. 500 HADI 700 KUANZIA AGOSTI 1
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza ongezeko la nauli za usafiri wa umma barabarani kwa wastani wa asilimia 16, ambapo viwango vipya vitaanza kutumika rasmi kuanzia Agosti 1, 2026. Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dkt. Khalid Salum Mohammed, amesema nauli ya daladala imeongezeka kutoka shilingi 500 hadi 700, huku mabasi ya umeme yanayoanza kutoa huduma kuanzia Agosti 1, 2026 nayo yakitoza shilingi 700 kwa kila abiria. Aidha, amesema wanafunzi, wazee na watu wenye ulemavu watanufaika na nauli maalum ya shilingi 350, ambapo watapatiwa vitambulisho maalum vitakavyowawezesha kupata huduma hiyo kwa viwango vilivyopangwa. Dkt. Khalid amesema marekebisho hayo yamezingatia hali halisi ya uendeshaji wa huduma za usafiri, huku akiwataka waendeshaji wa vyombo vya usafiri kuzingatia sheria za usalama barabarani, kutoa huduma bora na kuchangia kupunguza ajali barabarani. #NauliMpya #Daladala #Zanzibar #Usafiri #MabasiYaUmeme #Agosti12026 #AsamOnlineTV #SisiNiJamii

TAHARUKI SOKO LA KIBANDA MAITI !! MNADA WA NDIZI WAHAMISHWA.

KWANINI WAZANZIBARI HAWAKUTOKA OKTOBA 29? WATANGANYIKA KUCHUKUA AJIRA - OTHMAN MASOUD AFUNGUKA!

I left Ireland to marry my Kenyan lover, now she has taken everything from me | Tuko TV

ASMA MWINYI AFANYA KWA VITENDO, KIJANA JUMA AANZA MATIBABU NA DAKTARI BINGWA WA MIFUPA

Meli Mpya za Mizigo za Tanzania Kwenda DRC Zazinduliwa, MV Liemba Kuanza Kazi Agosti 2026

SHU SALOON AMWAGA MACHOZI AKIMTAJA BABA HALISI wa MTOTO "KWELI NILI-CHEAT"

ASMA MWINYI AENDESHA AMBULANCE KUMPELEKA KIJANA JUMA HOSPOTALI YA LUMUMBA

MKUU WA GEREZA LA UKONGA KUPANDISHWA KIZIMBANI LEO SHAURI LA KIKATIBA

KWA NINI IRAN HAIWEZI KABISA KUVAMIA MAREKANI | HIZI HAPA SABABU TANO, NA WAKITHUBUTU TU WAMEISHA

Imiterere y’inzu 2000 ziri kubakwa i Nyabisindu | Sobanukirwa uyu mushinga uzahindura Kigali

SERIKALI YATANGAZA NAULI MPYA ZANZIBAR | DALADALA SASA SHILINGI 700

RAIS SAMIA ACHACHAMAA KIGOMA | BABALEVO AULIZIWA | AHOJI KUHUSU KALAKANA YA KUTENGENEZA MELI

DR. MWINYI VISITS YOUNG MAKACHU PATIENT AT HOSPITAL IN INDIA

MAPYA, MAMA ALIYEFUKUZA WAOMBOLEZAJI AGOMA KWENDA KUMZIKA MWANAE, ATAJA SABABU, MAJIRANI WACHARUKA

UTAPENDA" RAIS MWINYI AMTEMBELEA KIJANA WA MAKWACHU INDIA

"WAHITIMU WALIOSOMA NJE RUDINI MJENGE ZANZIBAR, SI KUKIMBILIA MISHAHARA MIKUBWA"

WANANCHI KUKOSA UZALENDO, CHANZO NI VIONGOZI WASIOWAJIBIKA? EDO, OSCAR WASHUSHA NONDO

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

This City in Tanzania will host AFCON 2027 Games. A drive on 16km Arusha Dual highways

