MWANGA KIGOMA: Day Two: Kygc Choir wakihudumu semina ya 'UAMSHO ROHO MT' - Julai 17 2019

Ni siku sita za wana wa Kigoma mjini kubarikiwa na huduma ya Bishop Sixberth Kuzenza mjini Kigoma katika kanisa la FPCT Mwanga kanisa lililokuwa likichungwa na makamu Askofu Jimbo la Kigoma Wilson Gwimo 'RIP' aliefariki 2018, video hapa ni kwaya ya vijana 'KYGC' wakihudumu