#BREAKING: HUKUMU YA MPINA YAKWAMA/MAHAKAMA YATOA SABABU/ ACT YASEMA "TULIJIANDAA"
Mahakama kuu masjala kuu Dodoma imesema inahitaji muda zaidi wa kutoa uamuzi wa mwisho na usio wa mashaka katika shauri la Kikatiba lililofunguliwa na Mgombea Urais wa chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina na Bodi ya Wadhamini wa chama hicho kupinga kitendo cha kuondolewa kwake kuendelea na kampeni za kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwisho mwa mwezi huu. Hukumu hiyo ilitarajiwa kutolewa hii leo oktoba 10 ya ikiwa Luhaga Mpina ataendelea na mchakato wa Kampeni au lah. Shauri hilo la Kikatiba la ACT WAZALENDO inayosikikizwa na Majaji watatu dhidi ya Tume ya Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali sasa itaamuliwa oktoba 15 mwaka huu kwa njia ya mtandao. Hata hivyo, hoja zote za shauri hilo la kikatiba zilishasikilizwa kwa hiyo kipengele kilichobaki ni hukumu ya mwisho. Upande wa waleta maombi ukiongozwa na Wakili, John Seka unasema pande zote zilikuwa tayari kupokea uamuzi wa Mahakama Kuu.#mpina##KesiYaMpina#MpinaCourtCase#UamuziWacheleweshwa#MahakamaYaahirisha#MpinaLeo#JusticeDelayed#MpinaCaseUpdate#MahakamaYasita#AwaitingJustice

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”

HATMA YA MPINA KUGOMBEA URAIS KUJULIKANA TAREHE HII, MWENYEWE ATEMA CHECHE MAHAKAMANI

🔴#LIVE: MAAMUZI KESI YA ACT WAZALENDO - LUHAGA MPINA VS INEC NA AG YANATOLEWA MAHAKAMANI MUDA HUU

DKT.SLAA AMJIBU GERSON MSIGWA UFAFANUZI WAKE KUHUSU KUPITISHWA KWA MSWADA NA BUNGE LA EU

NAHUNZE INYENZI ZINSANGA MURI CONGO NITEGUYE KWICWA NAZO MIN.UWIMANA & GEN.(Rtd) IBINGIRA

Embeera ya Lukwago etisizza Frank Gashumba n'akaaba, asabye Gen MK amusonyiwe, ky'akoze Hon Tayebwa

Male lion attacks over 20 hyenas

Mpina Atarejeshwa Kwenye Kinyang'anyiro cha Ugombea Urais? Kesi Kuendelea

🔵 POLISI MJIFUNZE KUPITIA KIFO CHA RPC TABORA -LEMA

MPINA AMEIKASIRIKIA ACT WAZALENDO NA KUGOMA KUSAIDIA KAMPENI?

#LIVE: MPINA ACHUKUA UAMUZI MZITO/ POLISI WAINGILIA KATI/ WAFUASI CUF NA CCM WATISHIA KUMWAGANA DAMU

MOMENTI ZA MWISHO IKULU: RAIS SAMIA AMUAGA RAIS NETUMBO

MWANASHERIA MKUU AZUNGUMZA BAADA YA KUTOKA MAHAKAMANI KESI YA MPINA

KESI YA POLEPOLE: KIBATALA NA GODFREY KUHOJIWA? MAHAKAMA KUTOA UAMUZI KESHO

How I Was Deported From The US

🔴 #LIVE: RAIS SAMIA AKIMPOKEA RAIS DKT. NETUMBO WA NAMIBIA – UJIO HUU UNAASHIRIA NINI KWA TANZANIA?

MPINA ATOA KAULI HII BAADA YA MAHAKAMA KUPANGA SIKU YA HUKUMU

SIKIA BALAA LA TUNDULISSU AKIMUHOJI SHAHIDI NAMBA MBILI KESI YAKE YA UHAINI (SEHEMU YA KWANZA)

WAITARA CHAFUKWA "HUYU SIMAI ATOKE HAPA BUNGENI|| ATUAMBIE YUDA NI NANI|| AMVAA MAZIMA WAZIRI MKUU..

